U Turn Blog
|
IKU'S BIRTHDAY @ W HOTEL MINNESOTA |
|
Written by Mange
|
|
Friday, 03 February 2012 02:03 |
|








|
|
Written by Mange
|
|
Friday, 03 February 2012 01:38 |
|
HI Mange, hope uko poa kabisa na umeuanza mwaka vyema.
Nna tatizo naomba msaada kwa wana u turn pls.
Mimi ni single mum nna mtoto wa kike miaka mitatu, nafanya kazi kijijini na NAHITAJI MWANANGU APATE ELIMU BORA.
Napanga kumpeleka mwanangu huyu shule ya bweni kwa umri alionao naumia roho ila kwa mazingira nnayoishi nimeonelea nimpeleke tuu, but b4 doing tht naomba pia nipate maoni ya wadau humu kama kuna experience tofauti au kuna vitu nahitaji kuangalia kabla ya kufanya maamuzi hayo.
Natamani sana nikae nae mtoto huyu, ila kuna changamoto kadhaa zinanikumba, kwanza, im single na babaake hana msaada kabisa na mtoto, pili, natoka home alfajiri sana na kurudi usiku, tatu, wasichana wa kazi hawatulii maana huku kuna midume kibao akifika tuu mara katoroshwa!!
Nmeshabadili wasichana wa kazi kama wanne ndani ya mwaka jana tuu!!! so inaniwia vigumu kuamua, je niendelee kumbadilishia wasichana au nimpeleke shule akiwa mdogo tuu hivi!!
Mnaweza nambia nimpeleke kwa ndugu, sawa. Lakini hali halisi ya familia na ndugu zangu ni ya ajabu naweza sema, hakuna mtu yuko tayari kulea mtoto wa mwenzie!! hata mm im not ok kumwacha kwa ndugu maana nahisi nikikuta yuko tofauti na matarajio undugu waweza kuisha!!!
Im confused jaman, naombeni tuu msinitukane na mnipe ushauri maana nipo njia panda.
ASANTENI.
Kuwasiliana na uturn tuma email kwenda
This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
|
|
I AIN'T NO DYKE BUT GADEM!!!LOL |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 02 February 2012 22:02 |
|

Hii kitu apelekewa yule mfalme wa swaziland...lol
|
|
AHSANTE SANA NORAH KWA MCHANGO WAKO..... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 02 February 2012 21:54 |
|

Thank you so very much Norah, stay blessed mama....

Muke ya Muzungu looking guuuuuud......senkyuu mama....
KAMA UNGEPENDA KUTOA DONATION YAKO PLEASE NITUMIE KWA WESTERN UNION
MANGE KIMAMBI LOWREY - TANZANIA
OR MPESA: 0769 781315
|
|
BANG FEB ISSUE....TOO GLAMOROUS FOR Y'ALL... |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 01 February 2012 23:32 |
|

Shamim and Mange, bringing some serious elegance, sexyness and glam on Bang magazine...
official February, Bang cover girls....
OMG CANT WAIT TO GET MY COPY...
|
|
ADELINE AMZALISHA MTU.... |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 01 February 2012 23:27 |
|

Mtoto aliengia duniani kwa msaada wa Adeline a.k.a Mama Sallyrose...

Haya ndo maelezo ya Adeline akielezea kinagaubaga chote

Adeline....
|
|
THE WOMAN WITH 2 DUDUS...FREAKYYYY......LOL |
|
EVENT YETU YA VALENTINE'S |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 31 January 2012 23:29 |
|
Guys,
Nimefikiria nimeona kwamba ni bora siku hiyo ya shughuli tuende watu wachache, meaning tusizidi 50. Ili tusitumie pesa nyingi kwa ajili ya hiyo lunch ili tutumie pesa nyingi zaidi kutoa misaada.
Nimeona bora event iwe ya kawaida sana,tena sana, meaning kusiwe na makuu kabisa, ili msaada uwe mkubwa zaidi.
Wote tutakaokwenda tutavaa T-shirt za red, ambazo zimetolewa kama mchango na rafiki yangu kipenzi Joseline.
Tumetengeneza tshirt kwa size tofauti , small, medium & Large.
Kama ungependa kwenda kwenye hii event pls nitumie email humu
This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
.
Jamani naomba wale waliotoa michango tu ndo wajitokeze kwenda. Sababu sidhani kama itakuwa na maana kama watakwenda wengi ambao hawakuchanga chochote nikawaacha waliochanga.
Pia nimeona tusiende na watoto wetu, sababu tukienda na watoto wetu tutakuwa busy zaidi na wanetu na sio wale watoto yatima ambapo sasa tutakuwa hatujafanya cha maana sababu point nzima ni kuwapa mapenzi wale watoto. Mie najijua Kenzo wangu nikienda nae sehemu ambayo hajui watu ananing’ang’ania nimbebe.
Event itakuwa siku ya jumapili Feb 12.

|
|
KUELEKEA EVENT YETU YA VALENTINE'S DAY..... |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 31 January 2012 21:21 |
|

Leo nilienda tena Kurasini National orphanage centre.
Lengo langu leo lilikuwa ni kuongea na management ili tupange vizuri
mlolongo mzima wa event.
Alhamdulillah, everything went well...

Then nikaenda kuwaona wale watoto wadogo, wakubwa bado
walikuwa shule...
this is them taking their afternoon nap...
yes ,they nap kwenye mkeka....sakafu inavyoumiza sasa
ila usiku wanalala kwenye dorm zao...

Chatting with the kids...i love this little girl...she is super cute, her name is
Asha, jina la marehemu mama yangu hilo....


Hanging out with the kids...

nilijairbu kuuliza kwanini watoto wanatembea bila viatu au hata
kandambili. nikaambiwa wamepoteza...
sasa wakikanyaga miba inakuwaje jamani...
one of the things i plan to buy ni kandambili....

Also i asked kwanini watoto ni wachafu, nguo ni chafu,
nkaambiwa hawana nguo za kutosha,
so kwa wale ambao hamna uwezo wa kutuchangia cash
tafadhali kama una nguo za watoto used naomba unipe....

nikiwa na watoto wachache kati ya watoto 117 wanaolelewa hapa...
wengine ni wakubwa zaidi niliambiwa bado wapo shule...


they are such happy souls....

Huyu binti alinisikitisha jinsi alivyoharibika ngozi....


ngozi ya mtoto...

Nikimuonyesha mlezi wao jinsi mtoto alivyoharibika ngozi
na nikimuuliza wanampaka dawa gani, au kama keshafika kwa daktari.
nikajibiwa mtoto ni mwathirika wa HIV.
nikamwambia hilo sio jibu dada hata kama ni mwathirika,
still anatakiwa awe anatumia dawa kwa ajili ya hii.....
i felt really bad....

Nikicheka na watoto....

last time nilivyokwenda wakati naondoka niliwaambia watoto nawanunulia soda
na biskuti ,basi nikamwachia kaka mmoja pesa,huyo kaka ndo alienipokea siku hiyo.
basi na leo wakati naondoka nikawaambia tena watoto nitawanunua soda na biscuit,
kitoto kimoja kina kama miaka 5 hivi kilinishushuaje sasa,
akasema, we dada miyeyusho, hata mara ya mwisho ulisema utatununulia soda hukununua
uwiiii, kabla sijajibu nilianza kucheka kwamba,
try to imagine katoto kadogo kanasema neno 'miyeyusho'
vitoto vina maneno hivi...
DUh ,i felt really bad kwa kweli, so nikawauliza wote kwa pamoja
mara ya mwisho nilivyoondoka hamkupewa soda au juice au biskuit
wakasema hapana hawakupewa.
i was just like DUH...
So, nikasema leo siondoki hadi nivione vimeletwa

nilikalishwa 1hr eti juice na biscuit zimefatwa dukani.
ila nilikaaaaaa, hadi vikaletwa nikawaacha wanakula ndo nikasepa zangu.
kwa kweli im disappointed jamani, sijui cha kufanya na nchi hii.
sijui ni huu umaskini umezidi hadi mtu anaweza kuwacheat watoto kama hawa
hela ndogo tu ya soda na biskuti???
Ila lesson learnt, hakuna kuacha cash, hata iweje,

Nikimfungulia mtoto juice...
yani kwetu sie juice na biscuit ni kitu kidogo sana, ila ungeona jinsi watoto
walivyoruka ruka baada ya kuona juice na jinsi walivyoniambia ahsante.

HOW DO WE CHANGE THINGS IN THIS COUNTRY???
HOW DO WE MAKE SURE MISAADA INAWAFIKIA WALENGWA???
Naomba muendelee kuchanga
Western union : Mange Kimambi Lowrey – Tanzania
MPESA: 0769 781315
|
|
MOMMY SHIDA YA MAJI BONGO ITAISHA LINI??? |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 31 January 2012 20:24 |
|

Spotted,Kenzoki akielekea bombani kupanga foleni ya kuchota maji….LOLEST….
|
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
|
Page 1 of 232 |
|
|
|
Find U turn Blog on facebook |
|
|
|