JINI MAHABA LINANISUMBUA....
Mange habari,
Naomba niwekee hii habari Kwa wana mange's blog wenzangu wanisaidie. Nimekuwa nikisumbuliwa na jini mahaba Kwa mda mrefu sasa. Mwanzoni nilikua sijui Ila kwenye maisha yangu nimekua nikiota nafanya mapenzi na wanaume tofauti tofauti nikiwa ndotoni. Nikiwa na boyfriend tunapendana sana mwanzoni , tukikaa Kama mwezi hivi ananiacha au Mimi mwenyewe namchukia kupita kiasi namuacha.
Nikamweleza rafiki yangu mmoja yeye akanishauri anipeleke Kwa mganga, nilipofika huko ndio nikaambiwa Nina jini mahaba, niliogopa sana kwani ndio ilikua Mara yangu ya kwanza Kwa mganga, na pili kuambiwa Nina Jini.
Nina mengi sana Ila Kwa ufupi tangia siku hiyo Mimi nikawa Wa kuhangaika Kwa waganga tofauti tofauti, Mara Kwa Ustaadh wananisomea dua, mara kanisani bila mafanikio. Sasa nikienda Kwa mganga siku hiyo ndio balaa ananijia, Mara usiku naona jini linanishika Kwa nguvu linanifanya mapenzi, Mara linataka kunikaba, mara linaniambia tumezaa watoto siondoki nakupenda, Mara linanikandamiza kichwa etc, hapa Jana limetoka kunitisha limevaa kanzu nyeupe, yaani kila ukifika usiku nawaza sijui Leo atakuja, nasali tu nalala, Ila akinitokea ndio silali Tena Kwa uoga, Leo nimeamka saa Tisa usiku mpaka now asubuhi ndio nalala.
Kwa sasa Mimi ni mjamzito, uuuuuh habari ya huu ujauzito nimeupataje niachieni tu maana mnaweza mkalia. Ila nilivyokuta nina mimba nilifurahi sana kwani huwa naambiwa jini hufanya mtu asiolewe wala kushika mimba. nimeamua kuzaa kwasababu I'm over 30 now hivyo kuamua kua nitalea mtoto mwenyewe kuliko kukosa kabisa. Kuanzia nina mimba ya mwezi mmoja Mimi ni Wa bedrest tu na madactari hawaoni tatizo, hivyo doctors wananiambia ndio mimba zilivyo na niendee na bedrest tu , sasa mimba ni kubwa sana.
Wana uturn naombeni nisaidieni, nifanye nini mwenzenu. Pls msini dharau kwani sikupenda haya.
Mange shost, email yangu kapuni tafadhali
kuwa siliana nasi tuma email kwenda This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
Comments (112)
koku
romiego
Anonymous
Anonymous
forgot her name
Anonymous
Andunje
Anonymous
koku
Anonymous
Anonymous
monie
Mamchungaji
mama B.
Kuna siku niliota nimewekewa mtoto kifuani ananyonya, nlitekenyeka huku ananyonya huku nacheka huku chini ninatiwa, yaani balaa tupu. Kuna siku nikamsikia Shehe Yahya(mi ni mkristu) sbb nilikereka nilipenda kujua nn kinanisumbua. Alisema kutiwa ndotoni ni mbaya, ni majini na yanaambukiza hd magonjwa kama UKIMWI na zinaa(sbb yana wake wengi kama waislam,halal, na vimada pia. Yanajiozesha na kuzaa na watu pia (dalili 1wapo ni ndoto unanyonyesha, lol nlizaa nae, cjui mtoto yu wapi?, sema hakuongeza wa 2 nlistuka),na yanazaliana au kutaga ndani yako na kurithishana pia. Shekh akasema Mkristu weka Biblia au Rozari ilioombewa, muislam kuran chini ya mto na mpagani kitunguu saum sijui. Meanwhile nikapita Jangwani kwenye mahubiri, wakasema 'usikubali kuota ndoto za mapenzi', ni majini na yakizoea yanakufanya mke ndo utasikia siku hz kesi nyingi ndoa kuvunjika au na mimba kuharibika, ni majini wanakufanya mke na kufanya uharibifu. So kabla ya kulala sali kabisa jifunike na damu ya Yesu', nilianza kusali bila kukosa b4 kulala nadhani alishakuwa sugu, kama wiki hvna zaidi aliendelea kuja mara kadhaa kila niliposahau kusali. Mwisho sala ilikuwa kama kuoga na mpaka leo mwaka wa 12 sijaota natiwa, no imetokea kama mara 3 ila ikipita muda bila kusali, ni kama anatest. Sala ikiwa routine yangu haji ng'o.
Bi dada hujachelewa; Sijui mimba ya nani ila kwa elimu nlioipata kwa kumsikia shehe na mahubiri ya kanisani kuharibu mimba ni mpango wa shetani, bedrest mimba ya 1 haiingii akilini. Piga maombi ya nguvu usizae kituko kama alivosema bi koku, japo keshakuwa mumeo atakimbia na utapata mume unaetamani na familia, 30 bado mdogo. Ukiwa nae mume hupati ng'o anazuia unaonekana kama nnya na ukipata anamega anasepa sbb bw. jini anamkimbiza
Tajibeba
Tajibeba
divine
mpe Yesu maisha yako, waganga hawatakusaidia hata siku moja zaidi ndo utaongezewa na mengine zaidi.
baby ya Mange
ngosha
grace
baby ya Mange
Nai Nai
Anonymous
divine
Anonymous
Lise
grace
Ti Vancouver
Ila kwa waganga usiende tena kwani wengi wanatumia majini sasa sijui kama jini ataweza mtoa jini mwenzake. Pia ombea hiyo mimba kama niya kibinadamu ili usizae jini mtu. Ukilala usiku weka bible karibu na tumbo lako kwani majini wengine wanapenda kuishi ndani ya matumbo ya uzazi ya wanawake. Pia huyo jini ndo anakuletea kisirani unashindwa kuwa na boyfriend mda mrefu. Samahani kwa swali sijui we unaonaje mapenzi ya kijini na binadamu nani mkali?? Imani yako itakuponya.
essy
utajiju
no name
ngosha
FENESI P. PATEL
Noela
MIMI
MIMI
Anonymous
c's mum!
ngosha
FENESI P. PATEL
mami
pls get in touch with me, am Muslim and i guess I can get good advice from you.
regards.
get my email address
Dee
muddy washington
mimi
Anonymous
Anonymous
Anonymous
lulu
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Amy
sapiesia
ulichokosea kwenda kwa waganga,af et badae ndo unaenda nyumba za ibada...
endelea kukemea hayo mapepo yakutoke!
m
na kikubwa ni imani tu juu Mungu..
anonymous
mwokozi
Nai Nai
http://www.youtube.com/watch?v=ncwUdOiqibs&feature=related
Vile vile kwa waislamu muwe na mazoea ya kusali sala 5 ni kinga kwani katika kila rakaa unasoma surat Fatiha ambayo ni dua kubwa, pili ukimaliza kuswali zile dua za kumalizia sala ni kinga kubwa hasa Ayat kursiy na zile sura 3 za mwisho. Isitoshe muwe mna mazoea ya kusoma Suratil Baqarah au sura ya 2 kwa wiki mara 3 haingii jini au shetani ndani ya nyumba zenu.
Angalizo: Mie sio mganga wala sheikha bali hizo ni basic islamic knowledge kila muislamu anapaswa ajue jinsi ya kujikinga na majini, uchawi na uhasidi. Kwa anaetaka darasa zaidi anitafute kwa wakati wake lol! Wasiojua dua baada ya sala zenye kinga wasiliana na mimi nitakutumia copy kwa email yako ili Ramadhan hii uweze kujifunza na kuikariri, popote pale uweze kujiwekea kinga ya vitu au watu wabaya!!
Ivana
Anonymous
kama unataka kupambana na hilo jini uchague moja kama kanisa basi kuwa na imani na sio leo kanisani kesho kwa waganga.kuna watu wanaombea sana na wana darasa zuri sana kuhusu ibada google mgisa ntebe then utapata contact zao kama una imani utapona.
Loveness from Atown
Mpiganaja
Pole kwa mikasa. Wanadamu tumeumbiwa mitihani kila kukicha hakuna kupumzika likitoka hili linakuja lile. What i just want to tell you is never ever put your trust to which doctors. Kama wewe ni muislam tafadhali kumbuka kuwa Qurani ni dawa ya kila kitu UGUMU uliopo ni kwamba kila 1 amejaaliwa tofauti katika kuitikiwa dua zake usikate tamaa dada angu mwambie mungu kwa kuwa umenipa hili lazima umejua nitaweza kuli handle. Pia kila siku sema '" Najilinda kwako ewe Mwenyezimungu na maneno yako yaliyotimia zidi ya shari za ulivyoviumba". Hakika Hakuna shetani atakusogelea bi ithin allah b'se no 1 can bribe or buy Allah's words.
GOOD LUCK Usichoke kuomba
Mangaliso
jimmy choo
MAKONDE,ukifika pale makonde muulize mtu yoyote atakuelekeza,
Mtafute mchungaji yoyote akufanyie derivarance!
ngosha
Tajibeba
Anonymous
Big mama
Mdau USA
Mdau USA
pamelii
Babynah
xxx
nonini
Anonymous
Anonymous
Jitu kali
no-name
jina kapuni
jina kapuni
Guess!
Marinyau
Anonymous
OMG
Kuhusu ujauzito tueleze vizuri mana inaelekea kuna mtu unayemzania ila kwasababu ya hiyo fikra ya jini unajichanganya. Bedrest si jambo la kushangaza mana hata watu wa ujauzito wa kwanza huwa wanapata na hiyo inasababishwa na complication za mimba kwa ujumla kuliko mtoto mwenyewe au kuzaa ukiwa umri umeenda.
Anchiwela
Muke ya Mpare a.k.a wifi ya Mange
jose
hapi
hapi
baby ya Ceo
neylicious
baby ya Ceo
mama 2
MAMA JOJO
Mungu ndi muwezaji!
Anonymous
Mungu ndi muwezaji!
divine
kasumokankisu
Joan Rivers
Anonymous
media365
I have heard of your problem from many otehr women. The solution is not with witchdoctors but with Jesus Christ.Confess your sins and Accept Jesus Christ as your personal saviour. Then pray these prayers from midnight everyday with fasting and see whether that marine spirit husband will come again.
PRAYERS POINTS
1.Spirit husband/spirit wife, release me by fire, in the name of Jesus.
2.Every spirit husband/wife, I divorce you by the blood of Jesus.
3.Every spirit wife/every spirit husband, die, in the name of Jesus.
4.Everything you have deposited in my life, come out by fire, in the name of Jesus.
5.Every power that is working against my marriage, fall down and die, in the name of Jesus.
6.I divorce and renounce my marriage with the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
7.I break all covenants entered into with the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
8.I command the thunder fire of God to burn to ashes the wedding gown, ring, photographs and all other materials used for the marriage, in Jesus’ name.
9.I send the fire of God to burn to ashes the marriage certificate, in the name of Jesus.
10.I break every blood and soul-tie covenants with the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
11.I send thunder fire of God to burn to ashes the children born to the marriage, in Jesus’ name.
12.I withdraw my blood, sperm or any other part of my body deposited on the altar of the spirit husband or wife, in Jesus name.
13.I withdraw my blood, sperm or any other part of my body deposited on the altar of the spirit husband or wife, in Jesus name.
14.You spirit husband or wife tormenting my life and earthly marriage I bind you with hot chains and fetters of God and cast you out of my life into the deep pit, and I command you not to ever come into my life again, in the name of Jesus.
15.I return to you, every property of yours in my possession in the spirit world, including the dowry and whatsoever was used for the marriage and covenants, in the name of Jesus.
16.I drain myself of all evil materials deposited in my body as a result of our sexual relation, in Jesus’ name.
17.Lord, send Holy Ghost fire into my root and burn out all unclean things deposited in it by the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
18.I break the head of the snake, deposited into my body by the spirit husband or wife to do me harm, and command it to come out, in the name of Jesus.
19.I purge out, with the blood of Jesus, every evil material deposited in my womb to prevent me from having children on earth.
20.Lord, repair and restore every damage done to any part of my body and my earthly marriage by the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
21.I reject and cancel every curse, evil pronouncement, spell, jinx, enchantment and incantation place upon me by the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
22.I take back and possess all my earthly belonging in the custody of the spirit husband or wife, in Jesus’ name
22.I command the spirit husband or wife to turn his or her back on me forever, in Jesus’ name.
23.I renounce and reject the name given to me by the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
24.I hereby declare and confess that the Lord Jesus Christ is my Husband for eternity, in Jesus’ name.
25.I soak myself in the blood of Jesus and cancel the evil mark or writings placed on me, in Jesus’ name.
26.I set myself free from the stronghold, domineering power and bondage of the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
27.I paralyze the remote control power and work used to destabilize my earthly marriage and to hind me from bearing children for my earthly husband or wife, in the name of Jesus.
28.I announce to the heavens that I am forever married to Jesus.
29.Every trademark of evil marriage, be shaken out of my life,in the name of Jesus.
30.Every evil writing, engraved by iron pen, be wiped off by the blood of Jesus.
31.I bring the blood of Jesus upon the spirit that does not want to go, in the name of Jesus.
32.I bring the blood of Jesus on every evidence that can be tendered by wicked spirits against me.
33.I file a counter-report in the heavens against every evil marriage, in the name of Jesus.
34.I refuse to supply any evidence that the enemy may use against me, in the name of Jesus.
35.Let satanic exhibitions be destroyed by the blood of Jesus.
36.I declare to you spirit wife/ husband that there is no vacancy for you in my life, in the name of Jesus.
37.O Lord, make me a vehicle of deliverance.
38.I come by faith to mount Zion Lord, command deliverance upon my life now.
39.Lord, water me from the waters of God.
40.Let the careful siege of the enemy be dismantled, in Jesus name.
41.O Lord, defend your interest in my life.
42.Everything, written against me in the cycle of the moon, be blotted out, in Jesus’ name.
43.Everything, programmed into the sun, moon and stars against me, be dismantled, in Jesus’ name.
44.Every evil thing programmed into my genes, be blotted out by the blood of Jesus.
45.O Lord, shake out seasons of failure and frustrations from my life.
46.I overthrow every wicked law, working against my life, in the name of Jesus.
47.I ordain a new time, season and profitable law, in Jesus’ name.
48.I speak destruction unto the palaces of the queen of the coast and of the rivers, in Jesus’ name.
49.I speak destruction unto the headquarters of the spirit of Egypt and blow up their altars, in the name of Jesus.
50.I speak destruction unto the altars, speaking against the purpose of God for my life, in Jesus’ name.
51.I declare myself a virgin for the Lord, in Jesus’ name.
52.Let every evil veil upon my life be torn open, in Jesus’ name.
53.Every wall between me and the visitation of God, be broken, in the name of Jesus.
54.Let the counsel of God prosper in my life, in the name of Jesus.
55.I destroy the power of any demonic seed in my life from the womb, in the name of Jesus.
56.I speak unto my umbilical gate to over throw all negative parental spirits, in the name of Jesus.
57.I break the yoke of the spirit, having access to my reproductive gates, in the name of Jesus.
58.O Lord, let your time of refreshing come upon me.
59.I bring fire from the altar of the Lord upon every evil marriage, in the name of Jesus.
60.I redeem myself by the blood of Jesus from every sex trap, in the name of Jesus.
61.I erase the engraving of my name on any evil marriage record, in the name of Jesus.
62.I reject and renounce every evil spiritual marriage, in the name of Jesus.
63.I confess that Jesus is my original spouse and is jealous over me.
64.I issue a bill of divorcement to every spirit wife/husband, in the name of Jesus.
65.I bind ever spirit wife/ husband with everlasting chains, in the name of Jesus.
66.Let heavenly testimony overcome every evil testimony of hell, in the name of Jesus.
67.O Lord, bring to my remembrance every spiritual trap and contract.
68.Let the blood of Jesus purge me of every contaminating material, in the name of Jesus.
69.Let the spirit husband/wife fall down and die, in Jesus name.
70.Let all your children attached to me fall down and die, in the name of Jesus.
71.I burn your certificates and destroy your rings, in Jesus name.
72.I execute judgment against water spirits and declare that you are reserved for everlasting chains in darkness, in Jesus name.
73.O Lord, contend with those who are contending with me.
74.Every trademark of water spirit, be shaken out of my life, in the name of Jesus
Anonymous
grace
margareth
precious
Anonimas
herbie
herbie
In short your problem will be over the moment you deal with your inner faith, check this website http://www.demonbuster.com ni ya kikristo inaonyesha mwongozo mzuri wa sala na jinsi ya kupigana na mashetani kama yanavyokukabili. check this website too http://www.thesecret.tv/index.html inaonyesha jinsi ya kutumia nguzu za akili (mind power) and strengthen your will power. in short huyo jini ameharibu utaratibu wako wa kujihami na kujiamini...and that's exactly what they do bcz they have no physical body to beat and control so they use dreams and illusion, but in real sense they are nothing...Yesu ni mwema na atakuponya. it may take time depending on sadaka za mizimu vizazi vyako vilifanya, au wewe ulifanya, laana za ukoo, etc...vunja zote hizo, you will be ok
lisilocheka
cha muhimi piga sala kabla ya kulala halafu chukua bibilia weka chini ya mto lalia. kwa imani hautaota hayo mandoto ya ajabu ajabu.
Anonymous
Anonymous
Davis
Anonymous