02July

JINI MAHABA LINANISUMBUA....

Mange habari,

Naomba niwekee hii habari Kwa wana mange's blog wenzangu wanisaidie. Nimekuwa nikisumbuliwa na jini mahaba Kwa mda mrefu sasa. Mwanzoni nilikua sijui Ila kwenye maisha yangu nimekua nikiota nafanya mapenzi na wanaume tofauti tofauti nikiwa ndotoni. Nikiwa na boyfriend tunapendana sana mwanzoni , tukikaa Kama mwezi hivi ananiacha au Mimi mwenyewe namchukia kupita kiasi namuacha.


Nikamweleza rafiki yangu mmoja yeye akanishauri anipeleke Kwa mganga, nilipofika huko ndio nikaambiwa Nina jini mahaba, niliogopa sana kwani ndio ilikua Mara yangu ya kwanza Kwa mganga, na pili kuambiwa Nina Jini.


Nina mengi sana Ila Kwa ufupi tangia siku hiyo Mimi nikawa Wa kuhangaika Kwa waganga tofauti tofauti, Mara Kwa Ustaadh wananisomea dua, mara kanisani bila mafanikio. Sasa nikienda Kwa mganga siku hiyo ndio balaa ananijia, Mara usiku naona jini linanishika Kwa nguvu linanifanya mapenzi, Mara linataka kunikaba, mara linaniambia tumezaa watoto siondoki nakupenda, Mara linanikandamiza kichwa etc, hapa Jana limetoka kunitisha limevaa kanzu nyeupe, yaani kila ukifika usiku nawaza sijui Leo atakuja, nasali tu nalala, Ila akinitokea ndio silali Tena Kwa uoga, Leo nimeamka saa Tisa usiku mpaka now asubuhi ndio nalala.


Kwa sasa Mimi ni mjamzito, uuuuuh habari ya huu ujauzito nimeupataje  niachieni tu maana mnaweza mkalia. Ila nilivyokuta nina mimba nilifurahi sana kwani huwa naambiwa jini hufanya mtu asiolewe wala kushika mimba. nimeamua kuzaa kwasababu I'm over 30 now hivyo kuamua kua nitalea mtoto mwenyewe kuliko kukosa kabisa. Kuanzia nina mimba ya mwezi mmoja Mimi ni Wa bedrest tu na madactari hawaoni tatizo, hivyo doctors wananiambia ndio mimba zilivyo na niendee na bedrest tu , sasa mimba ni kubwa sana.


Wana uturn naombeni nisaidieni, nifanye nini mwenzenu. Pls msini dharau kwani sikupenda haya.


Mange shost, email yangu kapuni tafadhali


kuwa siliana nasi tuma email kwenda This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it

Comments (112)

  • koku

    koku

    02 July 2012 at 02:34 |
    sasa hiyo mimba ni ya shetani jini au? sijakuelewa! na ushauri gani unataka, kwani kwa waganga,msikitini,kanisani kote ushaenda...keep praying kwa imani yako usije ukazaa mjusi tuu mwisho wa siku
    • romiego

      romiego

      02 July 2012 at 03:48 |
      nimeamin wahaya 2na akili 1...haya 2ambie hiyo MIMBA ya nani? kama vipi muombe huyo jini utajir nawe upake obagi na CL...utamchunajeeeee
      • Anonymous

        Anonymous

        02 July 2012 at 15:51 |
        Yesuuu nibebe unibebee nibembeleze nibebee bwana yesu nibebee mikononi mwako niwe salamaa
    • Anonymous

      Anonymous

      02 July 2012 at 06:03 |
      umepata mimba kwa jini mahaba yaelekea ww unamatatizo mengi funguka maana hapa umezunguruka hakuna kichwa wala mguu .
      • forgot her name

        forgot her name

        02 July 2012 at 16:07 |
        nalichukulia kisayansi zaidi sibiliv majini nasapoti komenti ya mdau GUESS una tatizo la MENTALY HEALTH ISSUE unahitaji kumuona psychiatric hizo ni wet dreams zinakusumbua onana na wataalamu wa afya
        • Anonymous

          Anonymous

          25 December 2012 at 10:16 |
          UNAJUA MARA NYINGI IKIWA JAMBOHALIJAKUFIKA NDIO MANA DHARAU NYINGI CHUKULIA SAYANSI YAKO NA INAVYOONYESHA WEWE HUNA DINI KWASABABU DINI ZOTE ZINAELEWA KUWA MAJINI WAPO SOMENI DINI ZENU KIUNDANI MSING'ANG'ANIE SAYANSI
    • Andunje

      Andunje

      02 July 2012 at 11:05 |
      Koku na nimeona kwenye komenti zako kama unampenda mangereza kiana na we nani hii eeh? hakuna mbaya yote maisha
    • Anonymous

      Anonymous

      02 July 2012 at 11:41 |
      koku you are evil how can you say that umeshawahi kuzaa wewe...
      • koku

        koku

        02 July 2012 at 14:46 |
        shut up bichi..lol nimezaa ila sio na jini na naujua uchungu wa mwana. kwani wewe hujawahi sikia mtu kazaa jiwe huko bongo?? na hiyo mijini yenu unategemea nini!!! nawe uliyesema nampenda mangereza hujakosea,ila mimi sio LESBihappy
        • Anonymous

          Anonymous

          06 July 2012 at 17:06 |
    • Anonymous

      Anonymous

      02 July 2012 at 11:50 |
      jinga wewe
    • monie

      monie

      03 July 2012 at 14:29 |
      hi mamie, jua kuwa hakuna liclowezekana kwa mungu achana na habari za kuangaika kwa wganga wa kienyeji mgeukie yesu tu yeye ndie kila kitu mimi ninaushuhuda wa dada mmja yeye hadi alizaa nao kabisa bt mtoto wakamchukua hao majini wakasema ni mtoto wao bt huyo dadad aliamua kumkabidhi yesu maisha yake up to nw yuko poa na aliolewa kabisa, nakushauri kimbilia kwa yesu huko ndo kunauzima na utafunguliwa kutoka kwenye hicho kifungo utakuwa huru na utapata mume mzuri na mtafurahai ndoa yenu. thanx
  • Mamchungaji

    Mamchungaji

    02 July 2012 at 03:11 |
    Nenda kanisa la kilokole utafte mchungaji akufanyie kitu kinaitwa deliverance.na usimuache mungu litakurudia.usijezaa JinI.suluhisho ni yesu tuu.tena uhame na dini ukitaka uponyaji wa kudumu.
  • mama B.

    mama B.

    02 July 2012 at 03:12 |
    pole sn bi dada. Nakumbuka nilipokuwa sec school niliota mara kwa mara natia na jini, utamu wake usipime! Na kuja kwake ilikuwa yaani kiajabu ajuabu hv, kwa mfana nimetoka shule choka mbaya nasema nijinyooshe kitandani nisisinzie, tu kupunguza uchovu then niinuke nivue uniform nifanye mambo mengine, ghafla napitiwa na kausingizi ni katamu ajabu, tena kanaanza tu utamu huo! Ikawa ndio kama tabia, kuna kama mara zaidi ya 2 likanila tigo ni nilihisi utamu kunoga. Mara nyingine kadhaa niliota naingilia na boyfriend wg..kumbuka mara zote sioni wala kuota mtu, nahisi kukunwa tu kunako, kuna siku nilimuona mbaba kama mwarabu hv ni mzuri balaa, njiani wkt natoka shule, alinivutia ila sijui aliishia wp mara alipotea. Nlipofik home kujinyoosha nikaptiwa na usingizi yule mbaba akaja akaniduu. Kiukweli nilikuwa sipendi na nilikereka mno!
    Kuna siku niliota nimewekewa mtoto kifuani ananyonya, nlitekenyeka huku ananyonya huku nacheka huku chini ninatiwa, yaani balaa tupu. Kuna siku nikamsikia Shehe Yahya(mi ni mkristu) sbb nilikereka nilipenda kujua nn kinanisumbua. Alisema kutiwa ndotoni ni mbaya, ni majini na yanaambukiza hd magonjwa kama UKIMWI na zinaa(sbb yana wake wengi kama waislam,halal, na vimada pia. Yanajiozesha na kuzaa na watu pia (dalili 1wapo ni ndoto unanyonyesha, lol nlizaa nae, cjui mtoto yu wapi?, sema hakuongeza wa 2 nlistuka),na yanazaliana au kutaga ndani yako na kurithishana pia. Shekh akasema Mkristu weka Biblia au Rozari ilioombewa, muislam kuran chini ya mto na mpagani kitunguu saum sijui. Meanwhile nikapita Jangwani kwenye mahubiri, wakasema 'usikubali kuota ndoto za mapenzi', ni majini na yakizoea yanakufanya mke ndo utasikia siku hz kesi nyingi ndoa kuvunjika au na mimba kuharibika, ni majini wanakufanya mke na kufanya uharibifu. So kabla ya kulala sali kabisa jifunike na damu ya Yesu', nilianza kusali bila kukosa b4 kulala nadhani alishakuwa sugu, kama wiki hvna zaidi aliendelea kuja mara kadhaa kila niliposahau kusali. Mwisho sala ilikuwa kama kuoga na mpaka leo mwaka wa 12 sijaota natiwa, no imetokea kama mara 3 ila ikipita muda bila kusali, ni kama anatest. Sala ikiwa routine yangu haji ng'o.
    Bi dada hujachelewa; Sijui mimba ya nani ila kwa elimu nlioipata kwa kumsikia shehe na mahubiri ya kanisani kuharibu mimba ni mpango wa shetani, bedrest mimba ya 1 haiingii akilini. Piga maombi ya nguvu usizae kituko kama alivosema bi koku, japo keshakuwa mumeo atakimbia na utapata mume unaetamani na familia, 30 bado mdogo. Ukiwa nae mume hupati ng'o anazuia unaonekana kama nnya na ukipata anamega anasepa sbb bw. jini anamkimbiza
    • Tajibeba

      Tajibeba

      03 July 2012 at 12:02 |
      nimekupenda mama B naamini huyu dada kapata mwanga safi sana hope atafuata ushauri wako ...pole kwa yaliyokukumba
    • Tajibeba

      Tajibeba

      03 July 2012 at 12:03 |
      nimekupenda mama B naamini huyu dada kapata mwanga safi sana hope atafuata ushauri wako ...pole kwa yaliyokukumba
      • divine

        divine

        05 July 2012 at 12:40 |
        Nakubaliana na Mama B, ni Kristo peke yake solution ya haya madude, maana hayafungi kuolewa tuu yanaleta laana kila eneo, kutopendwa, kufanikiwa, magnjwa, kutokuzaa, kutokuolewa au ukiolewa yanafunga uzazi pia huwa yanaondoa nguvu za kiume kwa mwanaume , pia yanaondoa mvuto wa kindoa mume na mke kutokuelewana na mabaya mengi tuu. hivyo kimbilia kwa Yesu omba sana, sala iwe ndo chakula na kinywaji chako kila wakati, na ukishaombewa hakikisha unasimama katika imani ya kweli na usitende dhambi tena maana kama alivyosema mama B huwa yanajaribu kurudi yakiona hauna msimamo na imani yako yanarudi kwa speed na yanaweza hata yakakumaliza kabisa.

        mpe Yesu maisha yako, waganga hawatakusaidia hata siku moja zaidi ndo utaongezewa na mengine zaidi.
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    02 July 2012 at 03:15 |
    some horror post here!kwanza pole sana kwa jinsi shetani anavokutumia sasa does it mean hy mimba niyajini na utakubalije kukeep mimba ya jini?hata kama uko desparate kupata mtoto vp hautakiwi kukeep vitu kama ivo japokuwa hujatuambia exactly umeipataje pataje...kwa Mungu hakuna linaloshindikana tafuta tu mtumishi wa Mungu akufanyie maximum deliverance yani akuondoe kwenye hivo vifungo vyote vya nguvu za giza na uwe huru kama ni mimba ya kiukweli basi utajipatia mtoto wako kama ni manguvu ya giza yatasambaratika na utukuwa mzima..
    • ngosha

      ngosha

      02 July 2012 at 14:32 |
      duh,,, baby ya mange kumbe ukitulia huwa unatoa ushauri wa nguvu eeh...... i salute u
    • grace

      grace

      03 July 2012 at 13:09 |
      Amen baby ya Mange
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    02 July 2012 at 03:50 |
    baby i can see some serious wake up call i mean bora ulivyochange jina la blog na utumie jina lako kwa hii blog kuliko uturn...manake our blog is so famous wish u knew ths before,... jus watch ur name after 3month utakavokuwa famous na jina lako litakavokuwezesha,,usinisahau tu baby wako! Yani utakuwa jus like kim kardashian...Insh'allah,siunaona jina lake lilivofamous na hadi alikataa kuchange jina lake to Humphries wakati wa harusi.,.all the best my baby umeona mbali.God bless our blog!
    • Nai Nai

      Nai Nai

      02 July 2012 at 15:06 |
      baby ya Mange, yaani umeona mbali sana, mara kibao tushamshauri humu kuwa jina ni trade mark, watu wamelitumia weee kujipatia umaarufu na pesa (kila anaetaka kunyanyuka haraka anaanzisha tu tubifu twa upuuzi nae). Sasa unachotakiwa kufanya ni kusajili, once its registered whoever want to use your brand need to pay you!!
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 03:55 |
    ninavyoelewa haya majini ni hadithi za kizamani kama kweli zinamtokea mtu no comment no rechabo
    • divine

      divine

      05 July 2012 at 12:43 |
      umechelewa kujua, nakupa pole majini hayana uzamani wala upya wao ni roho kamili zinazoishi kama binadamu wapo na dnio wanaoleta uharibifu wote huu katika maisha ya siku hizi, usitafute mchawi bi dada ni evil spirits.
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 03:57 |
    Pole dear ndio mitihani ya maisha.
  • Lise

    Lise

    02 July 2012 at 04:05 |
    i know desperate times call for desperate measures but dada leo kwa mganga kesho kanisani and u still haven't figured out why nothing's working? u can't serve 2 masters my sista ooh am a Christian so obviously i would turn to my God but first of all what is your faith? who is it that u believe in? whatever the answer is then stick to it and be firm in your faith sio leo msikitini kesho Bagamoyo, wapi na wapi sista?!!
    • grace

      grace

      03 July 2012 at 13:19 |
      hilo nalo neno.
  • Ti Vancouver

    Ti Vancouver

    02 July 2012 at 05:16 |
    Pole mdada, Lakini mimba ni ya binadamu au ni ya miujiza mpenzi? Ushauri wangu tu sijui imani yako ila kama ni mkristo nenda kaombewe kwenye vikundi vya maombi ukiwa na imani hilo jini litakimbia, kama ni muislam vilevile uombe kwa imani vilevile.
    Ila kwa waganga usiende tena kwani wengi wanatumia majini sasa sijui kama jini ataweza mtoa jini mwenzake. Pia ombea hiyo mimba kama niya kibinadamu ili usizae jini mtu. Ukilala usiku weka bible karibu na tumbo lako kwani majini wengine wanapenda kuishi ndani ya matumbo ya uzazi ya wanawake. Pia huyo jini ndo anakuletea kisirani unashindwa kuwa na boyfriend mda mrefu. Samahani kwa swali sijui we unaonaje mapenzi ya kijini na binadamu nani mkali?? Imani yako itakuponya.
  • essy

    essy

    02 July 2012 at 06:06 |
    Hata mimi sijakuelewa sana !mimba ya nani ?umesema huna mwanaume au hilo jini ndo limekupa mimba .? Ila ulipokosea ni kwwenda kwa mganga ! Ungebakia na imani yako ya dini uwe mkristo au muislam , uombewe au kusomewa dua ingeisha .
  • utajiju

    utajiju

    02 July 2012 at 07:07 |
    Pole sana mdau, kuna dada mmoja rafiki yake Mange yuko nadhani London alishamuweka hapa akiombewa kwa TB Joshua London. Mi nakushauri mambo ya waganga achana nayo kabisa ndo yanakuharibu cha kufanya nenda kwenye maombi tena mapema usije ukawa hata mimba huna. Maombi yamesaidia wengi sana wenye matatizo kama wewe, na hilo ninaongea kutokana na rafiki yangu alikuwa na tatizo kama lako baada ya maombi maeneo ya mabibo baada ya lile soko la ndizi unakuta TGNP maeneo hayo hayo na huyo aliyemuombea nakumbuka jina moja Askofu Zacharia siyo kakobe. Na kwa sasa ameolewa na anafurahia ndoa yake, wala hayamtokei tena ila yalimsumbua sana
  • no name

    no name

    02 July 2012 at 07:08 |
    kwa uelewa wangu mganga na hzo habari za majin are the same thing its better ukaombewa kwa iman yako.Nothing better than the lord yn its better u keep on praying ni hatari sna sikutishi ila usishangae mwisho wa cku mimba ikayeyuka so u need God to save u mana mpk ss hujui mtoto ni wa nan?
  • ngosha

    ngosha

    02 July 2012 at 07:39 |
    mmmh, pole sana bi dada, kwanza tulia kwa imani moja, kama kanisani au msikitini, huna imani ndio maana unazidi kuteseka.
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    02 July 2012 at 07:41 |
    ACHA MAMBO YA KWENDA KWA WAGANGA ITAZIDI KUJITIA HOFU VEVE....HIYO MAMBO YA MAJINI NI KWELI YAPO..HATA QUR'AN NASEMA NIMEUMBA WATU NAMAJINI ILI IJE KUNIABUDU (HII NI AYA YA QUR'QN NA NI MANENO YA MWENYEZI MUNGU)...MAJINI MAISHA YAO IKO KAMA YETU NAOA NA NAZAA TOFAUTI YAO HAIONEKANI...SIJUI WEWE IKO DINI GANI ILA KAMA ITAKUWA NI MUISLAM HAKIKISHA KILA UNAPOLALA MWILI YAKO IKO SAFI YAANICHUKUA UDHUU..SOMA ALAHAMDU 1, KUL AUNDHU BIRA BI NASI 3, FALAQ 3, KUL HUALLAH 3 NA AYA TUL QURSIYU 7....KILA UKITAKA KULALA FANYA HIVYO NA ASUBUH PIA SOMA HIZO...UKISOMA ASUBUH BASI ZITAKUKINGA MCHANA KUTWA NA UKISOMA USIKU TAKULINDA VEVE USIKU YOTE, FANYA HIVYO KWA SIKU 7 FULULIZO KAMA HALI BADO NAKUWA BAYA....JULISHA MANGE, MANGE IKO NA CONTACT YANGU TAKUPA VEVE HALAF TAJUA TUKUSAIDIEJE..ILA VEVE MUDA YOTE IWE MIILI YAKO SAFI NA PIA KILA UKIKAA SOMA LAILAH AILAH LLAH..HII NI JINA YA MWENYEZI MUNGU UKIWA UMEZUBAA ZUBAA WEWE JISOMEE TUU KIMYA HIYO PIA NI DUA YA KUONDOA MAMBO MAGUMU NA PIA HII JINI NA SHATANI BAYA BAYA HAIKAI KARIB NA VEVE...
  • Noela

    Noela

    02 July 2012 at 07:53 |
    Pole sasa kwa yanayokusibu,ukweli nikwamba hilo tatizo sasa ni kwa wadada wengi linawasumbua hata wengine hawajitambui,Lakini amini hakuna jambo lolote linalomshinda Mungu,achana na mambo ya waganga maana hao hawatakutatulia tatizo lako zaidi ya kukuongezea matatizo,muanini Mungu wako na mueleze yote kwa maombi yanayokusibu na hakika yote hayo yatakwisha lakini ni kwaimani 2,utashida POLE SANA
  • MIMI

    MIMI

    02 July 2012 at 07:58 |
    wameshindwa waganga wote njoo kwa YESU
  • MIMI

    MIMI

    02 July 2012 at 08:01 |
    WAMESHINDWA WANGANGA WOTE NJOO KWA YESU
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 08:01 |
    Muite Yesu.. Hakuna linalomshinda.. Na usiyumbeyumbe kwa Mungu na waganga..
  • c's mum!

    c's mum!

    02 July 2012 at 08:01 |
    pole mwaya! ila kila mtu alivyo, but on my side shida ilianzia paleeee ulipokwenda kwa mganga! mganga ni binadamu mwenzio tu, huwa siamini hayo makitu hata kidogo, just pray kwa MUNGU huyuhuyu na atakusaidia! achana na waganga pulizzzzzzzzz kha!
    • ngosha

      ngosha

      02 July 2012 at 14:35 |
      point shoga angu............. cku hzi vpi ckuoni kwa tcha puff, au umeacha shule shosti????
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    02 July 2012 at 08:02 |
    HALAF TUNAOMBA UTUAMBIE HIYO MIMBA YA NANI NA ULIIPATAJE PIA TAJUA JINSI YA KUKUSHAURI KABLA YA VEVE KUZAA..."WINK"
    • mami

      mami

      21 August 2012 at 05:55 |
      hi fenesi,
      pls get in touch with me, am Muslim and i guess I can get good advice from you.
      regards.
      get my email address
  • Dee

    Dee

    02 July 2012 at 08:03 |
    Mungu tu ndiye ataekuepusha na haya yote, kwa waganga wafuata nini?????????
  • muddy washington

    muddy washington

    02 July 2012 at 08:04 |
    kwanza kabla sijachangia hoja naomba ufafanuzi zaidi,hilo jini mahaba linapokuingilia wewe kama wewe huwa unaenjoy na ku cum au?yani maana yangu jini linayaweza mambo?
  • mimi

    mimi

    02 July 2012 at 08:10 |
    dada nenda kwenye maombi, kuna nabii anaitwa fora yuko mbezi, huyo ni kiboko, hutajuta ukienda.
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 08:17 |
    dear pole sana jamn, ila pls dont go kwa waganga maana hawa watu sometime ni waongo sana wanaweza kukuzidishia matatizo badala ya kuyapunguza....naomba usali kwa imani yako, kam awewe ni mkristo nenda kanisani na onana na kiongozi wa dini yako akuombee tena mweke wazi matatizo yako ili akufanyie maombi.,.kama wewe ni mwislam mweleze pia kiongozi wako wa dini akusomee walahi yataisha achana na mambo ya waganha yamepitwa na wakati....ila hujasema hiyo mimba ni ya SHETANI wa ya BINADAMU???
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 08:20 |
    Wewe utakuwa unaugonjwa unaitwa "multiple personality disorder"
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 08:20 |
    Wewe utakuwa unaugonjwa unaitwa "multiple personality disorder"
  • lulu

    lulu

    02 July 2012 at 08:27 |
    Dada yangu pole sana kwa yaliyokukuta ni mkasa wa kusikitisha...Jini kapata nafasi kwako kwani unaonekana huna msimamo na Imani ipi unataka...kwa ushauri kama wewe ni Mkristo nenda kanisani kwa imani yako iliyosimama usitishike na kitu chochote mwone mchungaji na umng'ang'nie YESU hashindwi na kitu nawe utaona muujiza wako..shetani hawezi kukuchezea hivyo na wewe unamwangalia tu.
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 08:48 |
    Dada ushauri! Pray and Pray hard!! Hilo jini kweli umetupiwa na mtu! Ongea na ndugu zako ujue vizuri ni nini!
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 09:12 |
    please nakuomba uende kanisani haraka uombewe ama hiyo kitu itakutesa vibaya sana
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 09:17 |
    mimi nakushauri uokoke tena dada umaanishe kuwa unamuhitaji YESU tu nasi michanganyo.pole sana na nina imani ukifanya hivyo utaishi maisha ya amani na furaha.
  • Amy

    Amy

    02 July 2012 at 09:21 |
    dada pole sana lakini ni kweli huyo ni jini mahaba, na unaweza hata usijifungue salama maana huwa hawataki watoto wa kibinadam, wanazaa na wewe kwenye ulimwengu wa kishetani. Ushauri wangu kama una Dish kwako angalia channel moja ya tv inaitwa Emmanuel Tv wanayaombea sana hayo madude na kuyatoa!Nakulaumu sana kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji, hao huwa wanaongeza matatizo, Mungu hapendi umchanganye na mambo ya dunian hapa. Amua kama ni kanisan na iwe kanisan tu na si vinginevyo,toka lini Mungu akashindwa ndugu yangu?usiwe nusu nusu, sali kwa moyo wote, Mungu atakutetea!Leo Emmanuel tv wana live service au kama vp cheki on watairusha! www.scoan.org
  • sapiesia

    sapiesia

    02 July 2012 at 09:32 |
    pole mamy
    ulichokosea kwenda kwa waganga,af et badae ndo unaenda nyumba za ibada...
    endelea kukemea hayo mapepo yakutoke!
    m
    na kikubwa ni imani tu juu Mungu..
  • anonymous

    anonymous

    02 July 2012 at 09:49 |
    pray so so hard waganga haisaidii,mungu ndo komesha ya hayo,nenda kwa wachungaji mahiri,kwa mama rwakatare,au nenda kwa mwingira nunua vitabu vya dini, swali sana fanya dua,
  • mwokozi

    mwokozi

    02 July 2012 at 10:00 |
    wewe ni dini gani? manake hapo sijakuelewa unaposema unaenda kwa waganga mara maustadhi mara kanisani...hilo ni swali la msingi, ukinijibu kwanza hilo.
  • Nai Nai

    Nai Nai

    02 July 2012 at 10:02 |
    Kama ni mkristo nenda kaombewe kanisani, kama ni muislamu nenda kasomewe na masheikh visomo vya ruqya vinavyoondoa majini, mashetani na hata uchawi. Kama uko bed rest na huwezi kutoka kwenda kuombewa na wewe ni muislamu basi soma wewe mwenyewe Quran, kama hujui au huwezi kusoma basi ingia kwenye YOUTUBE search Ar Ruqya huko utakuta visomo vyenye mkusanyiko wa ayaza Quran ambazo ni tiba kwa ajili ya matatizo ya majini sijui uchawi na mambo kibao, chukua headphones weka masikioni uwe unasikiliza kila siku basi utaondokana na hilo tatizo in short muombe Mungu wewe mwenyewe. Nimeweka link ya youtube ambayo inakisomo cha Ruqya hapo chini, masharti yake ni kuwa kabla hujasoma au kusikiliza lazima uwe na udhu (mwili msafi) elekea kibla na umuombe Mungu akuondolee hilo tatizo.

    http://www.youtube.com/watch?v=ncwUdOiqibs&feature=related

    Vile vile kwa waislamu muwe na mazoea ya kusali sala 5 ni kinga kwani katika kila rakaa unasoma surat Fatiha ambayo ni dua kubwa, pili ukimaliza kuswali zile dua za kumalizia sala ni kinga kubwa hasa Ayat kursiy na zile sura 3 za mwisho. Isitoshe muwe mna mazoea ya kusoma Suratil Baqarah au sura ya 2 kwa wiki mara 3 haingii jini au shetani ndani ya nyumba zenu.

    Angalizo: Mie sio mganga wala sheikha bali hizo ni basic islamic knowledge kila muislamu anapaswa ajue jinsi ya kujikinga na majini, uchawi na uhasidi. Kwa anaetaka darasa zaidi anitafute kwa wakati wake lol! Wasiojua dua baada ya sala zenye kinga wasiliana na mimi nitakutumia copy kwa email yako ili Ramadhan hii uweze kujifunza na kuikariri, popote pale uweze kujiwekea kinga ya vitu au watu wabaya!!
  • Ivana

    Ivana

    02 July 2012 at 10:15 |
    Please kuwa na imani yenye nguvu.Nenda kanisa la wokovu kaombewe tena ikibidi ukeshe huko huko
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 10:16 |
    hi,
    kama unataka kupambana na hilo jini uchague moja kama kanisa basi kuwa na imani na sio leo kanisani kesho kwa waganga.kuna watu wanaombea sana na wana darasa zuri sana kuhusu ibada google mgisa ntebe then utapata contact zao kama una imani utapona.
  • Loveness from Atown

    Loveness from Atown

    02 July 2012 at 10:19 |
    Pole sana kwa yote dear, ila zidi kusali kwani unaweza kuzaaa mtoto wa jini, duniani kuna mambo,
  • Mpiganaja

    Mpiganaja

    02 July 2012 at 10:22 |
    Habari yako sister
    Pole kwa mikasa. Wanadamu tumeumbiwa mitihani kila kukicha hakuna kupumzika likitoka hili linakuja lile. What i just want to tell you is never ever put your trust to which doctors. Kama wewe ni muislam tafadhali kumbuka kuwa Qurani ni dawa ya kila kitu UGUMU uliopo ni kwamba kila 1 amejaaliwa tofauti katika kuitikiwa dua zake usikate tamaa dada angu mwambie mungu kwa kuwa umenipa hili lazima umejua nitaweza kuli handle. Pia kila siku sema '" Najilinda kwako ewe Mwenyezimungu na maneno yako yaliyotimia zidi ya shari za ulivyoviumba". Hakika Hakuna shetani atakusogelea bi ithin allah b'se no 1 can bribe or buy Allah's words.
    GOOD LUCK Usichoke kuomba
  • Mangaliso

    Mangaliso

    02 July 2012 at 10:43 |
    Sasa ndugu yangu hiyo kwa imani ya dini ya kikristo ni spirichual husband, na atakutesa ile mbaya. Sulihisho ni kwenda kwa watumishi wa mungu wakuombee. Na kama uko vizuri kifedha fanya juu chini uende SCOAN Church Nigeria TB Joshua akakuombee. We si wakwanza ni wanawake wengi wanashida kama ya kwako. Ila kusali b4 hujalala ndo la muhimu zaidi.
  • jimmy choo

    jimmy choo

    02 July 2012 at 10:51 |
    Nenda Kanisa moja linaitwa THE POOL OF SILOAM MBEZI BEACH
    MAKONDE,ukifika pale makonde muulize mtu yoyote atakuelekeza,
    Mtafute mchungaji yoyote akufanyie derivarance!
    • ngosha

      ngosha

      02 July 2012 at 14:38 |
      ataendaje hapo wakati hana nguo nyeupe,,,,,,,,,
      • Tajibeba

        Tajibeba

        03 July 2012 at 12:01 |
        So hilo kanisa linahitaji nguo nyeupe ?@ Ngosha
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 11:03 |
    io ini huyo mzee mchawi mtaa wa nyuma jini halipigi mimba wala haliachii mwingine akupige mimba. kuna babu jinamizi live linakuingilia pole
  • Big mama

    Big mama

    02 July 2012 at 11:16 |
    Kamaa kweli unataka kupona hutakiwi kuchanganya mara leo kwa mganga kesho kanisani tulia sehemu moja, kwanza mambo ya Mungu haya changanywi na ya kishirikina kazana kwa Mungu utapona wapo wengi waliokuwa na matatizo kama yako wamepona ila unatakiwa umshike Mungu kweli kweli.
  • Mdau USA

    Mdau USA

    02 July 2012 at 11:35 |
    Nakuombea ujifungue salama
  • Mdau USA

    Mdau USA

    02 July 2012 at 11:35 |
    Nakuombea ujifungue salama
  • pamelii

    pamelii

    02 July 2012 at 11:40 |
    duuuh pole sana kwa hilo....mie nadhaniulitakiwa ushughulikie tatizo liishe ndio uzae tena.kwa kifupi tatizo hilo huisha unapofanyiwa maombi na kulikemea kwa jina ya Yesu Kristo lakini sharti lake ni kuishi maisha ya kumpendeza Mungu baada ya hapo kitu ambacho kinawashinda wengi hivyo kujikuta wakipata tena shida zaidi ya mwanzo.....kuhusu bedrest ni kwa vile hilo jini halitaki m=uzao na mtu mwingine hivyo hiyo ni dalili ya mateso na mara nyingi huishia complications za wakati wa kujifungua au hata kupoteza mtoto.....ushauri nenda kanisani ukaombewe na umweleze mchungaji usimfiche kitu....Bwana na akupatie suluhisho mimi ni muhanga pia...pole.
  • Babynah

    Babynah

    02 July 2012 at 11:44 |
    Mpnz pole sana hebu jaribu kwenda kwa wachungaki na uwe na imani hawa waganga sijui mashehe watakupotezea mda sali kwa imani sana na mtegemee mungu,hayo yote yataisha ila ucpokuwa na imani na ukikata tamaa hutafanikiwa,n hayo mambo ya bedrest kataa hiyo hali yupo yy atutiae nguvu amabe ni yesu mwamini tu..
  • xxx

    xxx

    02 July 2012 at 11:53 |
    Nimewahi ona watu wenye matatizo kama lako. Google synagogue church of all nations utapata contact zao, wapigie utaombewa n u will be fine.
    • nonini

      nonini

      02 July 2012 at 15:37 |
      ni kweli kabisa
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 12:04 |
    wizi mtupu!
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 12:32 |
    pole sana,kwa ushauri wangu naomba uende kanisani ukaombewe coz huyo jini ataendelea kukufuata tu maishani mwako,na kama ww ni mkristo please yakabidhi maisha yako kwa Yesu hapo utakuwa umeokoka na huyo jini na utapata mume unaempenda nae atakupenda hakuna kinachoshindikana kwa Yesu. Bwana Yesu akutie nguvu.
  • Jitu kali

    Jitu kali

    02 July 2012 at 12:34 |
    Hahahahaha yaani we koku umenichekesha ana eti asije kuzaa mjusu tu. Pole sana dada hicho kitu kipo tu na kinamtoka mtu yeyote ila kwa ushauri wangu sali sana na unapokwenda kulala jitahidi kuweka bible yako kichwaani i mean chini ya mto Mpenzi Take care
  • no-name

    no-name

    02 July 2012 at 12:46 |
    nenda nigeria kwa t.b.joshua akakuombee,,wengi wanafunguliwa na kupata uponyaji wenye matatizo kama hayo.its called a spiritual husband
  • jina kapuni

    jina kapuni

    02 July 2012 at 12:48 |
    yeye azidi kumwomba Mungu pia tuvute subira tuone mpka hatakavyojifungua maana pia hata mimba za namna hiyo zipo za bedrest na wanajifungua salama keep in faith and dnt be disappointed mamii
  • jina kapuni

    jina kapuni

    02 July 2012 at 12:51 |
    nakuomba usikate tamaa katika maombi yako ya kila siku maana kuna watu wanapata mimba za namna hiyo na wanajifungua salama keep in faith and pray
  • Guess!

    Guess!

    02 July 2012 at 12:58 |
    Pole ila mimi nakusuggest uende ukaonane na psychiatric, kwakuwa according to your explanation inaonekana kwamba hiyo ni insomnia (google about insomnia kwakuwa maana yake inweza ikakupa ufahamu wa tatizo lako) Kuhusu waganga etc hawako trained kudili na matatizo yako. Hata Ulaya pia kunawatu wenye matatizo kama yako ila hawaambiwi ni majini. There is a doctor I know if he doesnt take his medication he goes about telling people he is a MOVIE STAR and he is not. I am not saying that your mad but this seem to be something related to MENTAL HEALTH ISSUES and can be kept under-control WITH PILLS. Kuhusu mimba hujasema unaishi mwenyewe au vipi, as sometimes people close to you who knows you have a problem might take advantage and say its JINI perfoming sexual activities while its them. Hope it helps, BUT PLEASE TAKE MY WORD and SEEK A PROFESSIONAL HELP!! FAST!!
  • Marinyau

    Marinyau

    02 July 2012 at 13:04 |
    Masikini madada, pole mwaya. Muombe Mungu atakusaidia..
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 14:01 |
    Mie nina mawazo tofauti inawezekana huyo si jini maana pia kuna wanawake ambao hupata wet dreams halafu huota kufanya mapenzi na wanaume tofauti na hii inachangiwa na kufikiria sex muda mwingi. Kuhusu hiyo mimba elezea vizuri mana inaonekana ina mtu ila huna uhakika kwa sababu ya hayo mawazo ya jini. Bedrest inawezekana ikatokea kwa mtu mwenye ujauzito wa kwanza hasa kwa walio na umri mkubwa au kutokana na complication flani ulizonazo na sio kwa mtoto aliyendani.
  • OMG

    OMG

    02 July 2012 at 14:22 |
    Mie nina wazo tofauti, yawezekana unapata wet dreams, mana hata wanawake huwa wana hili jambo ila kwa vile sio common na jamii inayokuzunguka wanahyo perception ya jini nawe unaona hivyo. Wet dream hutokana na kufikiria sex muda mwingi.
    Kuhusu ujauzito tueleze vizuri mana inaelekea kuna mtu unayemzania ila kwasababu ya hiyo fikra ya jini unajichanganya. Bedrest si jambo la kushangaza mana hata watu wa ujauzito wa kwanza huwa wanapata na hiyo inasababishwa na complication za mimba kwa ujumla kuliko mtoto mwenyewe au kuzaa ukiwa umri umeenda.
  • Anchiwela

    Anchiwela

    02 July 2012 at 14:25 |
    Du pole sana
  • Muke ya Mpare a.k.a wifi ya Mange

    Muke ya Mpare a.k.a wifi ya Mange

    02 July 2012 at 14:35 |
    Pole dada kwa yaliyokukuta, ila lazma ufahamu, katika imani zote Uislam na Ukristo, hawaingiliani na waganga, waganga wengi wanatumia hayohayo majini, so unapokwenda huko unaweza kuzoa jini lingine, hlf hata siku moja jini hawezi kumtoa jini mwenzie.majini ni viumbe kama wanadamu, wanaoa, kuzaa, nk, na kuna majini wacha mungu na walioasi kama ilivyo kwa wanadamu, jini haruhusiwi kuoa wala kuolewa na mwanadamu na mwanadam haruhusiwi kuoa wala kuolewa na jini, majini wanaofanya hivyo ni miongoni mwa walioasi, kama wewe ni muislam tafuta shekhe akuombee, kuna mashekhe wataalam kwa fani hiyo tu, nadhani wako Ilala, kesho nitakuekea anuani yao uende huko, kuna wengi wamekwenda kusomewa huko wakapona, na mkristo pia wako wachungaji wataalam wa fani hiyo, ila usiende tena kwa waganga, kuna mtu alienda kwa mganga kutolewa majini akatolewa, lkn baada ya hapo mganga alimtaka,alipokataa alimrudishia jini lake na mengine zaidi. Nai Nai Mashallah kumbe dini waijuia. U turn nawapenda sana watu kumbe mna dini zenu, kwenye serios issue kila mmoja anatoa ushauri kulingana na anavyojua dini yake.
  • jose

    jose

    02 July 2012 at 14:59 |
    pole dada , ushauri wangu nenda kanisani(born again church)for deriverance jaribu Agape church very annointing au T.b joshua watanzania wengi wanaenda huko jaribu kuwaomba annointed water au sticker linatoka tu. soma psalm 51,35,61 ,91 kila siku au mda wowote ukiwa na nafasi. pia inabidi utaje jina la yesu mala nyingi hayo majini ,mapepo hawalipendi kusukia jina la Yesu. sena"I'm married with Jesus not with spritual husband Every spirit husband ,I divorce you by the blood of Jesus,Every spirit husband die in Jesus name,holy ghost fire in the name of jesus.pia jaribu Elishagodman homepage for "spiritual werfare prayer"remember our battle is not about fresh and blood but spiritual battle .kabla ya kulala cover yourself with blood of jesus .kwenye youtube copy deriverance prayer mass prayer za t.b Joshua play it all night au mda wote ukiwa nyumbani. LA MWISHO NI IMANI USIOGOPE .
  • hapi

    hapi

    02 July 2012 at 16:14 |
    nakushauri uokoke, yaani umpokee Bwana Yesu maishani kwako na shida zako zote zitaisha. Nenda kwenye kanisa linalohubiri wokovu, ongea na mchungaji atakuombea pia badili mfumo wa maisha yako. achana na mambo ya dunia na jikabidhi mikononi mwa Mungu. kwaushauri zaidi na maombi nipigie 0718412041
  • hapi

    hapi

    02 July 2012 at 16:17 |
    nakushauri uokoke mpokee Yesu maishani mwako. nenda kanisa la watu waliookoka na watakuombea, shida zako zote zitakwisha. kwa ushauri zaidi na maombi piga 0718412041
    • baby ya Ceo

      baby ya Ceo

      02 July 2012 at 17:32 |
      Nainai umetishaAaa mie napenda watu wenye kujua dini I mean wenye hofu ya Mungu,kuanzia leo nainai we ni rafiki yangu,jamani hivi mmenote kitu kwa koku skuiz anamfagilia baby wangu mpk napata wasiwasi
  • neylicious

    neylicious

    02 July 2012 at 17:31 |
    aah jamn pole mwaya ila em funguka kidgo mimba ni ya bwana jini au ya binadam mwingine sijaelewa na sitak pata picha kama ni ya jini unaichekelea ya nin sasa??
  • baby ya Ceo

    baby ya Ceo

    02 July 2012 at 17:37 |
    Walai mie kunasiku nimeota nasagana na baby wangu ilikuwa tamu balaaaa nyonyanaaaa kila sehemu Mange mtamuje sasa anafanyakulilia nimnyonyeeeeee baby je wewe hujawahi kuota unado namimi wanadai kama unapendana na mtu lazima muotane sanaaa
  • mama 2

    mama 2

    02 July 2012 at 19:25 |
    mimi hata sielewi
  • MAMA JOJO

    MAMA JOJO

    02 July 2012 at 19:46 |
    kwanza pole kwa hayo yanayokukuta,lazima itakuwa inakutia hofu sana..na hilo ndilo shetani analolitaka kutoka kwetu..anataka kukutiahofi ili aendelee kututawala...lakini kiimani Mungu ndiye final..hilo ni muhiu uwe unalikumbuka kila unapopata matatizo hakuna wenye nguvu kushinda Mungu....baada ya hapo fahamu poa kuwa hiyo inayokutokea inaweeza kuondolewa uda wowte kwa uwezo wa Mungu...amini pia kuwa kwa YESU kufa msalanani alibeba madhaifu yetu yote na alishinda kwa wajili yetu kwa kufufuka kwake,hivyo ita jina la Yesu kila unapotaka kwenda kualala...zaburi ya 23,na isaya 51 ni sala nzuri sana katika kupambana na nguvu za giza...anza kwazna wewe mwenyewe kujipa nguvu na kuamini kuwa Mungu anafanya kazi ndani yako ndipo hpofu itaanza kukutoka....!!pia elewa kuwa mwili wako ni hekalu la Mungu hivyo shetani hana alka ya kulituia kwa kadiri anayojisikia...takasa hekalu ambalo ni mwili wako kwa kujifunika na DAMU ya Yesu kila wakati..anzisha utaraitibu wa kusali mara kwa ara na kutembea na biblia ili uweze kujipa nguvu kwa kusoa neno kila wakati...NAAMINI KWA USHAURI ULIOTOLEWA NA WADU WENGINE HAPO JUU,UTAFANIKIWA, UTASIHI NA UTAPAKATA MTOTO WAKO AMBAYE NI BINADAMU HALISI IN JESUS NAME....NAKUOBEA PIA JAPO SILIJUI JINA LAKO KUWA UNGU AKUTUMIE MALAIKA WAKE WALINZI NA KUKULINDA WEWE NA MTOTO ALIYTE TUMBONI KWAKO.....BE BLESSED
  • Mungu ndi muwezaji!

    Mungu ndi muwezaji!

    02 July 2012 at 20:31 |
    TB Joshua sip mkeeli!Teheran mwenyewe ni mchawi mkubwa. Lama hamuamini nendeni YouTube muone. Jamani watanzania na mambo ya ushirikina...tuwacheni hayana maendeleo. Mimi nilikuwa na hayo matatizo,kila mtu aliyekuwa akija Tamara kunioa anaondoka....Lisa ni haul majini na uchawi kutoka kwa ndugy,marafiki.Jamani Hii dunia ni spiritual.Uchawi hypo, na kwenda kwa wagaga inazidisha turn matatizo.Na wanao Tunis nguvu Za Giza hawana maisha ya furaha. Jamani tumuombeni Mungu tu leaning yeye Ndo muwezaji. Mimi nakushauri ujengee imani kwa kumuamini Mungu. Nenda Google alafu andika: mountain of fire. Ukifika. Kwenye website utaona wanasala tofauti kwa kizungu. Tafuta prayerpoints for deliverance itakutoa haying majini....na pia nahisi kuna uchawi mwingi un
  • Anonymous

    Anonymous

    02 July 2012 at 20:35 |
    pole sana,hilo tatizo ni la wengi sana, anyway sitaki kusema sana, kama unaweza nenda morogoro kihonda kuna padri muhindi ,wanapaita kwa father,atakuombea na utapona, huyo ni kiboko, na ni padri wa kanisani, ila kwake kuna foleni yamatibabu ya mambo mengi sana,nawatu wanatoka Tanzania nzima,amesaidia wengi sana.ukiweza jaribu. pia kama mkristo jaribu kusoma vitabu vya mtakatifu Anthony,novena nk.ila uweke imani hasa na usirudi nyuma, ila kwa waganga usikanyage.
  • Mungu ndi muwezaji!

    Mungu ndi muwezaji!

    02 July 2012 at 20:40 |
    Haya mambo ya annointing water na sticker kutoka kwa Tb Joshua ni uchawi. Nendeni MOUNTAIN OF FIRE. Hao wanakuombea uchawi na mambo mengine tote yanaisha.Jamani Mingu ndie muwezaji. Waganga waingo,na ukienda wanakuzidishia matatizo!Tu acheni mambo ya uchawi. Na pia jamani tuacheni rigid mbays ya kutupiana uchawi. God is the only way.
    • divine

      divine

      05 July 2012 at 13:05 |
      I doubt your iman girl. never open your mouth against a man of God, its God who can judge the right and wrong. i am very dissapointed on you, to accuse a man of God that way, how sure are you on this matter, you are not forced to trust him but do not accuse him for something you arent sure. and how did you know is a witch? will it be wrong to say that you are a witch too maana mchawi amjua mchawi mwenzie, malaya amjua malaya mwenzie. wewe ukiwa kama Mkristo unayelijua vizuri neno la Mungu hakuna mahali kwenye Bilblia inaposema umseme vibaya mtu na imanai yake zaidi umpende na imanai yake mwachie yeye binafsi. kama unaona anakosea mwombee lakini sio kumsema mtu vibaya. anagalia usijitafutie laana kwa kumkashfu mpakwa mafuta wa Mungu.
  • kasumokankisu

    kasumokankisu

    02 July 2012 at 21:32 |
    Usidanganyike na usemi wa jini mahaba. hakuna kitu hicho. Kuota ndoto kufanya mapenzi hakuna uhusiano wowote na mambo ya majini. Muhimu Tulia kwa Yesu omba na ombewa utaondolewa hali hiyo.Pia punguza woga na kuzurura kwa waganga wa kienyeji , na mara sijui kwa shehe.Ukizurura hivyo utashindwa kutatua tatizo maana unachanganya mno.Hiyo mimba siyo ya jini, si umesema una mpenzi wako?Jini gani likupe mimba.Watu mna imani kama hata shule hamjaenda jamani? Na mnaosema sijui aende kwa Flora nani kakuambia huko ndiko kwenye tatuzi peke yake.Mwambie muathilika amuombe Mungu na kuweka matumaini yake kwake. Soma hapa Marko 5:21-43.Patakusaidia kuiona njia ya kutatua hilo jambo.Usisumbuke na walimwengu walio wengi ni wachunaji tu.
  • Joan Rivers

    Joan Rivers

    03 July 2012 at 01:09 |
    aaaaaaaghhhhh naangalia movie ya kutiusha? nenda kwa mchungaji rwakatare au mzee wa upako akuombee
  • Anonymous

    Anonymous

    03 July 2012 at 10:30 |
    Mh, mange naona kama vya kujadiliwa vimekwisha. Waganga wa kienyeji mpoooooo! Deal hilo!
  • media365

    media365

    03 July 2012 at 12:39 |
    Hello woman,
    I have heard of your problem from many otehr women. The solution is not with witchdoctors but with Jesus Christ.Confess your sins and Accept Jesus Christ as your personal saviour. Then pray these prayers from midnight everyday with fasting and see whether that marine spirit husband will come again.


    PRAYERS POINTS
    1.Spirit husband/spirit wife, release me by fire, in the name of Jesus.
    2.Every spirit husband/wife, I divorce you by the blood of Jesus.
    3.Every spirit wife/every spirit husband, die, in the name of Jesus.
    4.Everything you have deposited in my life, come out by fire, in the name of Jesus.
    5.Every power that is working against my marriage, fall down and die, in the name of Jesus.
    6.I divorce and renounce my marriage with the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
    7.I break all covenants entered into with the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
    8.I command the thunder fire of God to burn to ashes the wedding gown, ring, photographs and all other materials used for the marriage, in Jesus’ name.
    9.I send the fire of God to burn to ashes the marriage certificate, in the name of Jesus.
    10.I break every blood and soul-tie covenants with the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
    11.I send thunder fire of God to burn to ashes the children born to the marriage, in Jesus’ name.
    12.I withdraw my blood, sperm or any other part of my body deposited on the altar of the spirit husband or wife, in Jesus name.
    13.I withdraw my blood, sperm or any other part of my body deposited on the altar of the spirit husband or wife, in Jesus name.
    14.You spirit husband or wife tormenting my life and earthly marriage I bind you with hot chains and fetters of God and cast you out of my life into the deep pit, and I command you not to ever come into my life again, in the name of Jesus.
    15.I return to you, every property of yours in my possession in the spirit world, including the dowry and whatsoever was used for the marriage and covenants, in the name of Jesus.
    16.I drain myself of all evil materials deposited in my body as a result of our sexual relation, in Jesus’ name.
    17.Lord, send Holy Ghost fire into my root and burn out all unclean things deposited in it by the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
    18.I break the head of the snake, deposited into my body by the spirit husband or wife to do me harm, and command it to come out, in the name of Jesus.
    19.I purge out, with the blood of Jesus, every evil material deposited in my womb to prevent me from having children on earth.
    20.Lord, repair and restore every damage done to any part of my body and my earthly marriage by the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
    21.I reject and cancel every curse, evil pronouncement, spell, jinx, enchantment and incantation place upon me by the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
    22.I take back and possess all my earthly belonging in the custody of the spirit husband or wife, in Jesus’ name
    22.I command the spirit husband or wife to turn his or her back on me forever, in Jesus’ name.
    23.I renounce and reject the name given to me by the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
    24.I hereby declare and confess that the Lord Jesus Christ is my Husband for eternity, in Jesus’ name.
    25.I soak myself in the blood of Jesus and cancel the evil mark or writings placed on me, in Jesus’ name.
    26.I set myself free from the stronghold, domineering power and bondage of the spirit husband or wife, in the name of Jesus.
    27.I paralyze the remote control power and work used to destabilize my earthly marriage and to hind me from bearing children for my earthly husband or wife, in the name of Jesus.
    28.I announce to the heavens that I am forever married to Jesus.
    29.Every trademark of evil marriage, be shaken out of my life,in the name of Jesus.
    30.Every evil writing, engraved by iron pen, be wiped off by the blood of Jesus.
    31.I bring the blood of Jesus upon the spirit that does not want to go, in the name of Jesus.
    32.I bring the blood of Jesus on every evidence that can be tendered by wicked spirits against me.
    33.I file a counter-report in the heavens against every evil marriage, in the name of Jesus.
    34.I refuse to supply any evidence that the enemy may use against me, in the name of Jesus.
    35.Let satanic exhibitions be destroyed by the blood of Jesus.
    36.I declare to you spirit wife/ husband that there is no vacancy for you in my life, in the name of Jesus.
    37.O Lord, make me a vehicle of deliverance.
    38.I come by faith to mount Zion Lord, command deliverance upon my life now.
    39.Lord, water me from the waters of God.
    40.Let the careful siege of the enemy be dismantled, in Jesus name.
    41.O Lord, defend your interest in my life.
    42.Everything, written against me in the cycle of the moon, be blotted out, in Jesus’ name.
    43.Everything, programmed into the sun, moon and stars against me, be dismantled, in Jesus’ name.
    44.Every evil thing programmed into my genes, be blotted out by the blood of Jesus.
    45.O Lord, shake out seasons of failure and frustrations from my life.
    46.I overthrow every wicked law, working against my life, in the name of Jesus.
    47.I ordain a new time, season and profitable law, in Jesus’ name.
    48.I speak destruction unto the palaces of the queen of the coast and of the rivers, in Jesus’ name.
    49.I speak destruction unto the headquarters of the spirit of Egypt and blow up their altars, in the name of Jesus.
    50.I speak destruction unto the altars, speaking against the purpose of God for my life, in Jesus’ name.
    51.I declare myself a virgin for the Lord, in Jesus’ name.
    52.Let every evil veil upon my life be torn open, in Jesus’ name.
    53.Every wall between me and the visitation of God, be broken, in the name of Jesus.
    54.Let the counsel of God prosper in my life, in the name of Jesus.
    55.I destroy the power of any demonic seed in my life from the womb, in the name of Jesus.
    56.I speak unto my umbilical gate to over throw all negative parental spirits, in the name of Jesus.
    57.I break the yoke of the spirit, having access to my reproductive gates, in the name of Jesus.
    58.O Lord, let your time of refreshing come upon me.
    59.I bring fire from the altar of the Lord upon every evil marriage, in the name of Jesus.
    60.I redeem myself by the blood of Jesus from every sex trap, in the name of Jesus.
    61.I erase the engraving of my name on any evil marriage record, in the name of Jesus.
    62.I reject and renounce every evil spiritual marriage, in the name of Jesus.
    63.I confess that Jesus is my original spouse and is jealous over me.
    64.I issue a bill of divorcement to every spirit wife/husband, in the name of Jesus.
    65.I bind ever spirit wife/ husband with everlasting chains, in the name of Jesus.
    66.Let heavenly testimony overcome every evil testimony of hell, in the name of Jesus.
    67.O Lord, bring to my remembrance every spiritual trap and contract.
    68.Let the blood of Jesus purge me of every contaminating material, in the name of Jesus.
    69.Let the spirit husband/wife fall down and die, in Jesus name.
    70.Let all your children attached to me fall down and die, in the name of Jesus.
    71.I burn your certificates and destroy your rings, in Jesus name.
    72.I execute judgment against water spirits and declare that you are reserved for everlasting chains in darkness, in Jesus name.
    73.O Lord, contend with those who are contending with me.
    74.Every trademark of water spirit, be shaken out of my life, in the name of Jesus
    • Anonymous

      Anonymous

      03 July 2012 at 19:40 |
      God Bless you !!
  • grace

    grace

    03 July 2012 at 13:17 |
    Yesu akupiganie. Sitaki kuamini kwamba umeamua kuzaa na Jini (huyo shetani ashindwe kwa jina la Yesu). Au Mganga alikudanganya uzae nae ili umfukuze huyo Jini (Yesu atusaidie). Ushauri wangu ni kwamba nenda kwenye makanisa ya Upako ukaombewe na utapona Yesu ni muweza ya yote hakuna asiloliweza. Pia unakaribishwa kanisani kwetu Lutheran Kimara (korogwe) nimeona watu wenye matatizo km yako wameombewa na wamepona.
  • margareth

    margareth

    03 July 2012 at 17:28 |
    aliyekudanganya uwende kwa mganga ndo kakuaribu kabisaa... sikia dada yangu cha kukushauri tafuta kanisa na uende kwa mchungaji ukamwelezee lasivyo hata hiyo mimba inaweza isiwe mimba... na majuto ni mjukuu.. na uache kabisa kwenda kwa waganga tena... huo ndo ushauri pekee... siku njeama
  • precious

    precious

    03 July 2012 at 21:41 |
    my dia ninaomba ukimbilie kanisani tena haraka saana and not just any church...try ATN, kwa Gwajima pale kawe,au kwa ndegi kawe...naomba uachane na waganga kabisa...wanakujaza mapepo zaidi tuuu..God is the answer to all...hukufanikiwa kwa sababu tumaini lako lipo kila mahali...eka tumaini kwa MUNGUUUUU
  • Anonimas

    Anonimas

    03 July 2012 at 23:27 |
    YAANI WATU WANAVYOMSEMA HUYU DADA KUHUSU KWENDA KWA MGANGA KAMA KWELI VILEEEE!!! Hahahahaa basi kama nyote hamwendi kwa waganga hao waganga wanapata wapi wateja?
  • herbie

    herbie

    04 July 2012 at 18:23 |
    demons do exist...this is a marriage covenant with demons...usizunguke kwa waganga watakupotezea pesa...the true powers comes from Jesus, true power is within you, unatakiwa uvunje maagano ya kale, inawezekana kizazi cha nyuma ktk ukoo wenu waliingia maagano na mapepo, au labda umetupiwa, ila haijalishi, cha msingi sasa utatue tatizo hili. Nakushauri utengeneze mind set yako, tambua ya kwamba there is NOTHING A HUMAN MIND CAN NOT ACHIEVE WHEN YOU PUT YOUR DETERMINATION. Hilo jini lilichofanya ni kuvunja "WILL POWER" yako na ni hatari sana, nasikitika uliposema unaogopa kusali akija. Kumbuka binadamu tuliumbwa with a free will and freedom to make our own choices...Fanya hivi; weka nia yako ya kupambana na huyo shetani, jiambie "NIMESHINDA VITA DHIDI YA WEWE JINI MAHABA" if you note i have used a present tense...ndio...UKISEMA NITASHINDA VITA unamaanisha in future tense, na utambue ulimwengu wa kiroho hautegemei muda (ndio maana malaika, majini, etc..they can see the past, present and "near" future...but GOD sees "all" the FUTURE)....ukishaweka nia ya kushinda mapambano, sali sala ya mheshimiwa "media365" hapo juu ni ya ukweli sana kuvunja laana na takataka zote...alafu tafuta muda upitie hii tovuti http://www.demonbuster.com ktk hii tovuti inatoa mwongozo wa kuondoa mashetani na takataka zote hizo (tovuti ya kikristo), alafu ktk muda wako pia tembelea tovuti hii http://www.thesecret.tv/index.html huku itakusaidia kurekebisha your mind set and to think positive in life and understand the potential of your mind. Naomba nikutaarifu kwamba a demon can affect your body (kama mimba na mateso), can affect your mind (uwoga na kukata tamaa), can affect your soul (kukuingizia uchafu wa kiroho, hasira, kuvunjika mahusiano), BUT CAN NOT AFFECT YOUR SPIRIT (this is for the Holy Spirit to reside and live)...hivyo kuwa na moyo bado hajashinda vita...ila tambua hatatoka kirahisi, maana hufanya mwili wa binadamu nyumba yake and nobody likes to be evicted from their homesad MAY THE PEACE OF GOD BE WITH YOU...Afterall we all have demons, we are all affected by these wicked beings, tunatofautiana machungu na maono
  • herbie

    herbie

    04 July 2012 at 18:35 |
    Pole sana na ishu yako ya kusumbuliwa na jini mahaba. Hilo tatizo haliponi kwa waganga, even sometimes from church bcz they don't teach u how to deal with it either for a reason you become their economic slave or other reasons, tena waganga hukomaza hao majini. People are selfish in short.
    In short your problem will be over the moment you deal with your inner faith, check this website http://www.demonbuster.com ni ya kikristo inaonyesha mwongozo mzuri wa sala na jinsi ya kupigana na mashetani kama yanavyokukabili. check this website too http://www.thesecret.tv/index.html inaonyesha jinsi ya kutumia nguzu za akili (mind power) and strengthen your will power. in short huyo jini ameharibu utaratibu wako wa kujihami na kujiamini...and that's exactly what they do bcz they have no physical body to beat and control so they use dreams and illusion, but in real sense they are nothing...Yesu ni mwema na atakuponya. it may take time depending on sadaka za mizimu vizazi vyako vilifanya, au wewe ulifanya, laana za ukoo, etc...vunja zote hizo, you will be ok
  • lisilocheka

    lisilocheka

    04 July 2012 at 21:00 |
    sasa hyo mimba itakua ya nani mbona hujatuweka sawa?? ila pole sana mwaya kwa mtihani mgumu ulionao.
    cha muhimi piga sala kabla ya kulala halafu chukua bibilia weka chini ya mto lalia. kwa imani hautaota hayo mandoto ya ajabu ajabu.
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 16:53 |
    Duh,pole sana mdada kwani mi mwenyewe nilikua na tatizo kama hilo la kuwa na jini mahaba yaani nilikua sikai na mwanamme mda mrefu nilikua na mchumba nikaachana nae pasipo sababu ya msingi na nilikua naweza nikapata mwanamme nikawa nae ila akishanitajia kufanya mapenzi tu natokea kumchukia na nakata mawasiliano yae na ikitokea nikafanikiwa kutembea na mwanamme basi sitadumu nae naweza nikatembea nae mara moja tu baada ya hapo naachana nae bila hata sababu ya msingi,ila nashukuru kwa sasa nimepona kabisa hilo tatizo na ninaishi na mume wangu raha mustaree na niwe muwazi ukweli mimi niliponea kwa mganga na tatizo la hayo majini yanapenda sana watu wanaojipulizia manukato makali na wasichana wanaopenda sana kujilemba,mfano mimi kwa sasa nikijipulizia pafyum yenye harufu kali lazima usiku litanijia tu,mimi nakushauli kama unatumia manukato yenye harufu kali achana nayo,ila kama utahitaji msaada zaidi toka kwangu nitafute nikupeleke mahali ambapo mimi nilisaidiwa kuondokana na hilo tatizo,pole sana mdada kwani hijafa hijaumbika
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 16:54 |
    Duh,pole sana mdada kwani mi mwenyewe nilikua na tatizo kama hilo la kuwa na jini mahaba yaani nilikua sikai na mwanamme mda mrefu nilikua na mchumba nikaachana nae pasipo sababu ya msingi na nilikua naweza nikapata mwanamme nikawa nae ila akishanitajia kufanya mapenzi tu natokea kumchukia na nakata mawasiliano yae na ikitokea nikafanikiwa kutembea na mwanamme basi sitadumu nae naweza nikatembea nae mara moja tu baada ya hapo naachana nae bila hata sababu ya msingi,ila nashukuru kwa sasa nimepona kabisa hilo tatizo na ninaishi na mume wangu raha mustaree na niwe muwazi ukweli mimi niliponea kwa mganga na tatizo la hayo majini yanapenda sana watu wanaojipulizia manukato makali na wasichana wanaopenda sana kujilemba,mfano mimi kwa sasa nikijipulizia pafyum yenye harufu kali lazima usiku litanijia tu,mimi nakushauli kama unatumia manukato yenye harufu kali achana nayo,ila kama utahitaji msaada zaidi toka kwangu nitafute nikupeleke mahali ambapo mimi nilisaidiwa kuondokana na hilo tatizo,pole sana mdada kwani hujafa hujaumbika
  • Davis

    Davis

    14 September 2012 at 11:56 |
    Kiukweli mi mpaka leo sijiu hatma yangu ni nini coz nna ota nasex na mtu nisie mfahamu...nilikua nafurahia kuchafua shuka kila siku nikidhani kuwa ndo ugentlemen kumbe ndo naharibiwa maisha yangu...kiukweli Nna mpenzi wangu naumia sana kawssababu nashindwa kumtimizia haja zake za kimwili kwasababu nikikiga tu iko kimoja kwisha habari yangu.somtimes namalizia kwenye amsha amsha...nimetumia dawa nyingi sana hzini saidii...mpaka namweonea huruma..na yeye ni binadamu akinichoka imekula kwangu
  • Anonymous

    Anonymous

    13 February 2013 at 10:48 |
    sikia dada hii issue c mchezo ila natakakukuambia kuwa hakuna jambo gumu (AYUBU 42:2)linalomshinda MUNGU WA ELIYA nakushauri fika katika kanisa la shika neno,tenda neno ufahamu kwelli ambayo itakuweka kuwa huru na kisha kufunguliwa na wewe utakuwa huru. kanisa linaitwa THE POOL OF SILOAM CHURCH UTOKE KWENYE HICHO KIFUNGO. KUPITIA UFAHAMU WA NENO WA MAHALI NINAPOKUELEKEZA LAZIMA UFUNGULLIWE