|
MPO HAPO WAOSHA VINYWA???? |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 29 July 2010 18:51 |
|

|
|
NIACHANE NA HUYU MZUNGU AU??? |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 29 July 2010 18:49 |
|
Pole na majukumu dada mange,
Naomba wadau wanisaidie kwa ushauri,
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, kuna mzungu alitokea kunipenda na tukawa tunawasiliana kwa internet tu kwani yupo mbali na mimi, urafiki wetu umekuwa ni wa muda mrefu, kiasi kwamba tumetokea kuzoeana sana na kuambizana kila kitu, ahadi ni nyingi alikuwa ameziweka kwangu ikiwemo ahadi ya kunioa, ni mtu wa kusafiri mara kwa mara na ikitokea amepata safari yoyote ya Africa huwa ananitumia Ticket namfuata.
Tatizo langu ni kwamba kila tunapoonana hapendi kuongelea swala lolote la ndoa na pia sijawahi kumwomba hata hela na huwa ananipa kiasi ambacho hakikidhi hata mahitaji yangu ya siku, nimekuwa naumia mwenyewerohoni nikiamini ladba ananipima ajue mimi ni mtu wa aina gani.
Niliporudi TZ last week nikapata tatizo ikabidi nimwombe some amount ili niweze kusolve tatizo langu, nilipomtumia email hakunijibu, na tangu siku hiyo hanipigii simu wala haniandikii tena email kama mwanzo.
Wadau wote naomba ushauri wenu.
Thanx dada Mange but please maomba usipost email address yangu
Kuwasiliana na uturn tuma email kwenda
This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
|
|
COUPLE OF THE DAY....N and K..... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 29 July 2010 18:44 |
|

|
|
NASREEN AT AFRICA FASHION WEEK...(SOUTH AFRICA) |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 29 July 2010 18:31 |
|

K-lyn,Nasreen and friend...

Nasreen,Klyn and friends...

Nasreen and Klyn...

love this girl's shoulder padded jacket...

Millen,Nasreen and Klyn..
|
|
BIJOUX PARTIES IT UP WITH FRIENDS.... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 29 July 2010 18:19 |
|









|
|
CHANGE IS COMING...JANUARY MAKAMBA ON THE CAMPAIGN TRAIL.... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 29 July 2010 18:10 |
|










|
|
NILIFATA USHAURI WA MANGE....NIKABAHATIKA SASA NIFANYEJE?? |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 27 July 2010 20:45 |
|
hi u turners....
need a quck advise...
sometime back mange ali post some advise on how you could catch yourself a wonderful partner..well mengi watu walisema wengine walimponda but i decided to give it a try..just last friday after work i decided to treat myself to a drink at one of our best hotels around here, accompanied by a galfriend..well sitting next to us were a few people having a dinner meeting or so...ill cut the story short,one of them got attracted to me and we hooked up..nachoweza kusema zaidi ni kwamba i had one of the best weekends on earth mpaka narudi kazini jumatatu people could see the glow in me..unfortunately this guy has left, we still communicate but naumia..i do feel him but i never got the chance to tell him..we acted like long time lovers though non of us has broken it out to the other whether we are in love or not....i have found my feelings and i feel i should tell him ila naogopa maybe he was just having fun and has forgotten about it..je nimwambie au nisimwambie?please advise..
mange dont publish my email nor my name please...
|
|
IKITOKEA HII TZ ITASHINDA WORLD CUP...LOL.. |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 27 July 2010 20:41 |
|

from Kevin
|
|
HILDA RINGO- FINALLY CERTIFIED TO FLY BOEING 737...CONGRATS GIRL.... |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 27 July 2010 20:31 |
|

Hilda Wendy Ringo
I've Stubbornly recuptured my dream.......I am so happy cant believe am rated to fly Boeing 737 ClAsSic (737-300/400/500) its such a good feeling......thank u my dearest captains Dennis n Kintu for all ur support throughout my career n always believing in me.......
|
|
THE MOST CONFIDENT WOMAN....FIDELINE IRANGA... |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 27 July 2010 20:28 |
|

|
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
|
Page 1 of 93 |