U Turn Blog
|
MANGE & DEVOTA ON JOYCE KIRIA'S WANAWAKE LIVE.... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 26 January 2012 21:32 |
|

Mange, Devota and the host Joyce Kiria ,this afternoon....

EATV Studios....

nikisikiliza jambo...



Beautiful devota....

Devota and i....

Mange,Devota and Joyce Kiria...

Joyce Kiria is super nice…I really enjoyed our chat this afternoon…
Tuliongea kuhusu kuwa wake za wazungu, the challenges etc…
Ofcourse niliongelea project yangu ya valentine’s day..
Kigugumizi kilinilet down kidogo, but I managed….lol...
U-turners msikose kuangalia kipindi maana Joyce aliwafungukia kidogo
kwa comments zenu za matusi....lol..nilijaribu kuwatetea ila walikuwa wawili so ilikuwa ngumu kidogo.
hahaha...it was funny
The episode will be aired Tuesday February 7th at 9pm on EATV….
DON'T MISS IT...
PS:I'm trying to get someone aniwekee the whole episode on youtube after it airs
ili na mlio mbali muone...
|
|
BIG MICHANGO'S COMING IN....SENKUUUU FRIENDS.... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 26 January 2012 20:39 |
|

OMG, Thank you my dear, long time friend F.M for ur 1,000,000 tsh mchango….
Jamani sijui nisemeje mnielewe, yani I am really humble kwa jinsi mnavyojitoa kwa michango.yani mmenitumia michango mingi mno ila sitokuwa napost yote bali naandaa excel sheet ya pesa zote zilizopokelewa mpaka sasa.
Yani, bado siamini hii michango ninayoipata wapenzi wangu…
Thank you sooooo very much, kesho nitawapostia excel sheet ya kuonyesha how much we have so far.
Please endeleeni kutuma michango
Western union – MANGE KIMAMBI LOWREY
DAR ES SALAA,TZ
MPESA: 0769-781315
Kwa kutoa ushauri nipigie simu +255 769 781315
|
|
KWANINI USIZIPE UHAI NGUO ZAKO ZA ZAMANI?? |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 26 January 2012 20:32 |
|

|
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 26 January 2012 20:28 |
|
Dear Mange,
Nina swali ambalo linahusu maisha ya kawaida , mi nina umri wa miaka 28, namshukuru Mungu nimesoma kiasi siwezi kusema nimesoma saaana , nina degree moja tu, na diploma mbili, Mange sio kwamba nataka kujishaua au vipi, nataka nikupe msing wa swali langu,
Ninafanya Kazi at least najikimu katika maisha na naweza kusaidia wazazi wangu kidogo na ndugu japokuwa sio sana.
Mange nimekuwa nikipata mawazo sana hivi karibuni, Tangu nikiwa mdogo nimekuwa nikimuomba Mungu niishampata mwenzangu nndo tupange Mipango ya watoto na kuwa na familia kubwa vyovyote vile tutakavyotaka,
Lakini kitendo cha mimi kuwa sijaolewa hadi sasa, naonekana kama nimechelewa sana na uwezekano wa kkuja kuolewa tena ni mdogo sana,
Nimekuwa nikipata maswali si kutoka kwa wazazi tu hata watu wa nje , kama sijaolewa kwa nini sina mtoto mpaka umri huu?
Mange hayo maswali yamekuwa yakinitatiza kiasi kwamba naona kama maamuzi yangu labda si sahihi,
Sasa swali langu ni hili je umri sahihi wa mwanamke kuolewa ni upi? na kama mpaka umri huu sijajua nitaolewa na nani ni kosa ni matumaini wana u-turn mtachnagia na si kutukana Email yangu kapuni please
|
|
BANG PHOTOSHOOT....WAS MAJOR FUN... |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 24 January 2012 02:39 |
|

Moi,nkichungulia picha nlizopigwa...
hahah, yani nlikuwa nkipigwa tu nakimbilia kuangalia...hahahha
i had a ball..
Bang team u rock....

posing with fashion stylist Rio Paul during the photo shoot...
|
|
A DESK FOR EVERY CHILD...RECYCLE YOUR OLD CLOTHES... |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 24 January 2012 02:31 |
|

|
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 24 January 2012 02:25 |
|
KWANINI MWANAMUME AKIFA NDUGU WA MWANAMUME WANADAI MALI ZA MTOTO WAO HATA KAMA ANA WATOTO KWA NINI NDUGU WA MWANAMKE HAWANA HAKI YA KUDAI?
Mimi ni mwanamke niliyeolewa nimekuwa nikiona matukio mengi hasa upande mmoja wao anapoitwa mbele za haki na Baba yetu wa Mbinguni. Nitaongelea upande wa mwanamume mara nyingi nimekuwa nikiona tofauti sana na kujiuliza ni kwanini inakuwa hivyo?
Ikitokea mwanamume akafa utakuta ndugu wa waupande wa mwanamume wanaanza kudai mali alizochuma ndugu yao hata kama ana watoto na mke aliyebaki hawaangalii hilo wao ni mali tu sababu mtoto wao ndo alikuwa mtafutaji. Hawakumbuki kuwa wakati wanatafuta hizo mali alikuwa na mke wake wanashauliana saa nyingine wanajima vitu Fulani Fulani ili wawe na maendeleo kama watu wengine. Chakushangaza mke athaminiwe tena hasa akiwa na watoto wadogo ndo basi make wakiwa wakubwa kunakuwa na hofu kidogo lakini maneno hayatakosa, utakuta wakati wanaoana walikuwa hawana kitu hata kimoja lakini wakajibana wakapambana na maisha wakawa na kitu kidogo lakini walijibanaje wanajua wao hasa mama na baba sasa kwa nini inapotokea baba akaondoka kunakuwa na vurugu hasa kuhusu mali?
Niongelee tena upande wa mwanamke inapotokea mama ameitwa mbele ya haki kwanini ndugu upande wa mwanamke hawana haki ya kudai mali ya mtoto wao aliyochuma na mume wake? Sababu mali alizobaki nazo mwanamume zilitafutwa na wote wawili sasa kwa nini haki iende upande mmoja? Naomba kujua hilo toka kwa wadau. Ikumbukwe mwanamke anapokufa baba ana haki ya kuoa mke mwingine na kumuolea kwenye nyumba aliyojenga na mke wa kwanza na wakaendelea na maisha lakini anapokufa baba mwanamke haruhusiwi kumiliki tena mali za mume wa kwanza kwa nini? Na tujue asilimia ya wengi hasa mama akifa wa kwanza watoto huwa wanapata shida sana na utakuta matunzo ya watoto yanaegemea upande wa mama tofauti na upande wa baba na utakuta watoto wanadhulumiwa hasa na upande wa baba ni kwanini?
Mimi nashauri wanapotunga katiba nahili waliangalie hasa upande wa mwanamke wawe na haki ya kudai mali endapo mtoto wao ametangulia mbele ya haki.
Ni mimi Subira John
Mdau
Kuwasiliana na uturn tuma email kwenda
This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
|
|
MICHANGO YAZIDI KUJA...GOD IS GREAT.... |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 24 January 2012 01:26 |
|

Hii Milioni moja imetoka UK , kwa dada mmoja ambae aliniomba nisimtaje….
Ahsante sana dada N.S. Ubarikiwe….
Wengi wenu bado mnaniulizia western union details zangu. Guys nimeshaweka details zangu sasa sijui kama kuna kitu zaidi ya jina langu na nchi nayokaa.
MANGE KIMAMBI LOWREY
DAR ES SALAAM, TZ
MPESA : +255769781315
Nimepokea michango mingine ya MPESA LEO, nitaipost kesho
|
|
KUELEKEA EVENT YETU YA VALENTINE'S DAY..... |
|
Written by Mange
|
|
Monday, 23 January 2012 23:14 |
|

Jamani kuna some orphans wanaoangaliwa vizuri sana kama hawa babies,
jamani wako sehemu safi, vitanda vyao visafiiii, wanalishwa vizuri.
just look at the place....
i left here na moyo mweupe kabisa kuwa they didnt really need my help at this moment...

Awwww, how adorable.......
hawa watoto wanalelewa na masista wa kanisa la katoliki...
hao wadada waliokaa chini na watoto ni ma nanny....

There are 44 babies, from 0 months to 2 yrs.....

Jamani hiki kitoto nilikuwa nashindwa kumuacha kila nikimkalisha chini ananililia....
Sista akaniambia mtoto amekuchagua....Oooh....heartbreaking...

HEY Friends,
Sasa jana Sunday nilienda kuvisit kituo cha kulelea watoto yatima cha msimbazi centre.
Pale wanalea watoto wadogo sana from birth to 2yrs old. Baada ya hapo wanawahamisha sehemu nyingine.kuna watoto 44 at the moment.
Hawa watoto wanalelewa na masista and if im not wrong wako chini ya kanisa la katoliki.
Ukweli ni kwamba watoto hawa hawahitaji msaada kama watoto ambao niliwaona last week. Kwa kweli wanatizamwa vizuri sana.
Yani pale wako very very organized, nimekuta vitoto vinanywesha uji na kina dada, vimeogeshwa, visafiiii, wamevaa nguo safiii.niliwauliza wana shida gani, walinieleza luku na sukari za uji.
Kwa kweli sikuuliza maswali mengi maana nilishaona these babies were ok.
Ila nilimuuliza kama watoto wanaweza kuwa adopted, akasema YES, yani wangependa kama watoto wangekuwa adopted, so families ambazo mnaweza pls wachukueni hawa watoto they need a home and a family. Kwa kweli sijawahi kufikiria swala la kuadopt before jana. Maana hiko kitoto kimoja kilikuwa kinanililia, kila nikimkalisha chini ananililia, it was sweet and sad at the same time…
although nimesema hawana shida sana,ila
kwa wale watoaji please muwe mnatembelea na kuwapelekea
maziwa,pesa ya luku na sukari za uji.
mie niliwaachia kitu kidogo cha kuwasadia na luku
for a week or 2.
So guys, Im done with kutembelea vituo.
We will focus on KURASINI….
AHSANTENI SANA.
|
|
NEXT ISSUE OF BANG MAGAZINE IS GONNA BE SUPER HOT...STAY TUNED... |
|
Written by Mange
|
|
Sunday, 22 January 2012 15:22 |
|

SO, the other day Bang magazine held a very professional photoshoot for Shamim and i…
We will be gracing the cover of Bang magazine’s February issue…
I loved my interview with Emelda. I was honest and a lil bit funny…lol..
I have to admit Emelda, her sis and their whole team, giver,Rio Paul and Make up artist Rehema are really professional.
It was a pleasure working with you guys…
i had 5 wardrobe changes, shamim had 3...
the pics are awesome i hear.
and the interviews mtazipenda pia....
I can hardly wait to get my copy…..aaawwwww
|
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
|
Page 1 of 230 |
|
|
|
Find U turn Blog on facebook |
|
|
|